Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Sjambo kabisa Shem wa kimataifa. Shemeji nimeota umewekwa kwenye bango unavyoingia tu Mbeya; wana-Mbeya tunajivunia weweNaam shem, hujambo tena? unafaa kusalimiwa mara 4 kwa siku (minimum)
Sjambo kabisa Shem wa kimataifa. Shemeji nimeota umewekwa kwenye bango unavyoingia tu Mbeya; wana-Mbeya tunajivunia weweNaam shem, hujambo tena? unafaa kusalimiwa mara 4 kwa siku (minimum)
Umesema kweli mzee mwenzangu.Hayo "manguruwepori" hayo yalishamaliza kazi yaliyotumwa kuifanya - kukuandaa na kukuweka tayari. Usingekuwa hivyo ulivyo leo bila ya hayo manguruwe pori. Ungewezaje kuujua upendo wa kweli bila kupitia kwa hayo manguruwe pori? Almasi yawezaje kuwa yenye thamani, imara na yenye kung'ara sana bila kupita katika moto mkali na mgandamizo wa kutisha?
Jitoe ufahamuUtetezi baadaye kwanza; mahaba yameshanivuruga akili

Ninainywa sasa hivi 😂😂😂Jitoe ufahamu
Nina shaka ushaanza kujaribu jani la Arusha
Nyie mtakuwa mshaanza kuvuta bangi,siyo bureSjambo kabisa Shem wa kimataifa. Shemeji nimeota umewekwa kwenye bango unavyoingia tu Mbeya; wana-Mbeya tunajivunia wewe






Mahaba ndi ndi ndi. Mahaba yamejaa pomoniMahabaaa
Ahh Marhabaaaa
Kunyweni sana,Ninainywa sasa hivi![]()
Kama nakuonaaaaaaaNyie mtakuwa mshaanza kuvuta bangi,siyo bure![]()
Na iwe kama ulivyoota shem wangu.Sjambo kabisa Shem wa kimataifa. Shemeji nimeota umewekwa kwenye bango unavyoingia tu Mbeya; wana-Mbeya tunajivunia wewe
Umeshaanza bangi zako😂😂😂Na iwe kama ulivyoota shem wangu.
Wangeweka pale njia pande ya Mbozi kama unatokea Mbarali itakua safi sana.
Pia nadhani zisitumike zile picha zangu zenye bodygurad wangu...
Hii hapa ni safi sana.
View attachment 2143545
Endelea kuniona na bangi zenu🤣Kama nakuonaaaaaaa
Unaimba au???Mahaba ndi ndi ndi. Mahaba yamejaa pomoni
Look Mama PepNina shaka ushaanza kujaribu jani la Arusha
Si ndio maneno ya wavutaji wakifarijiana.Look Mama Pep
Cannabis is not a drug it is a plant, therefore shemeji angu is not a drug addict, she is a farmer.
Can I get Amen? wanajamvi?😍
My love for you is unconditional
Yaani umeenda kufukua comment za miaka ya tisini naa.Can I get Amen? wanajamvi?
AmenCan I get Amen? wanajamvi?
Sio mimi ni Kepa 😎Ulichana mkeka