cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Yaani hivi majiandaa kukuibukia kwa Kassim Majaliwa nikudai pichausiseme kwa sauti Saint Anne akija kitaumana
😁Carabao cup final....tutawalaza na viatu
Ulichana mkekaTukiwafunga sitoi mahari....aya bet hiyo tumemaliza
kulikua na match ya kukata na shoka, ila tatizo uwanja mdogo mnoo, wachezaji hawakua wanatanua mashambulizi. Uwiiiiiiih







Wakishua kaka,enzi hizo mnasona Kenya and Uganda mmetamba sana kitaa!Walah tena, ipo Kenya hii, kule Kisumu kwenye county ya Siaya
Volume ipo loud and clear
Wakishua kaka,enzi hizo mnasona Kenya and Uganda mmetamba sana kitaa!
Nipo binamu yangu nambie kipenzi!!Bina upo?
Unaendeleaje?Nipo binamu yangu nambie kipenzi!!
Niko good good kipenzi nambie weye na familia yetuUnaendeleaje?
Umefuta why?!!



looh!ahsante rafikiUmefuta why?!!looh!ahsante rafiki

next time nitapiga picha ya msosi nikuwekee ama ungekuwa jirani ningelipia bill wewe unapita na kula chakula chako tuTuko salama kabisa; Mungu ni mwemaNiko good good kipenzi nambie weye na familia yetu