Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Kabisa
Imeisha Kwa mbili hiyo,,bila Baki
Guruwe lolote lipambane na hali yake huko duniani kwenye makurubembe
Yakuache kabisa dada mzuri aisee.





ahsante studiooo!!!Nimerudi mazima

We jishaue tuuu!!ntakumezaa![]()
















Hebu tuone nihadithie kidogo upupu wa Hilo guruwe poriahsante studiooo!!!
Tunakomaa kibishi!!maisha yanaendelea



Wewe unajiwekeaga ya sh ngapi?Mdaaaaa tena ya jero
Bakhiri huyu. Kaka woiiiioh
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
😬😬😬Wewe unajiwekeaga ya sh ngapi?
Usikute unaweka za mia mbili mbili afu unalishangaa jero la watu??!!! 😂😂
Mpiga picha?
AmekufaMpiga picha?
Hatupulizagi jua likiwa linawaka, wewe imekuwaje?Amekufa
Hatupulizagi sijakuelewa mpenziHatupulizagi jua likiwa linawaka, wewe imekuwaje?
Hapo upate na ugali na kachumbari 😋😋😋Hizi ndiyo snacks zetu watu wa mikoani
Hakuna cha sijui crisps, biscuits, wala popcorns
Vijana wa dar hawawezi kula dagaa hivi peke yakeView attachment 2143459
Igweee Igweee Igweee Igweee Igweee Igweee.Kuna muda mtu unapendwa hadi unatamani utangaze
Nguruwepori popote mlipo Aloo Huku mambo ni moto nyie
.....
Yaani sijui hata najiteteaje
Ngoja Heaven Sent atakuja kunisaidia
Thank you darling. Happy women's dayPendeza sanaaaaa..![]()
Amekufa ukaona ya kuipa likeAmekufa
Yah.


