Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilifikaga hapo siku moja palikuwa pamepoa kuna sehemu nikaenda ndio panabamba sana hapo mbeya kuna night club nyuma kidogo kabla hukafika mataa ya mafiati
Huwa navutiwa na playlist ya Dj wao tu, unakuta Kinywaji kinashuka taratibu huku ukiinjoi mziki mzuri

Next time nitapita na hiyo mitaa unayosema Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…