Tegemea hayoMno
Nimewaza nije kumfanyia hayo yote moto wa mtu afu aje kuniletea ushenzi.

Post msosi boss
Usikute umekaa na mshikaji pembeni,Tanga rahaaaaaa... unafaidi we mshenzi.. na mie nipo na busi naenda mbeya 😁😁😁 kwa kina mwakaleli.. nikaone watu walio jaaliwa neema za allahView attachment 2139850
Akhsante na karibu sana mkuuAhsante daahh!wankumbusha mbaali sana hizo sehemu!Kola dream(kola ndoto)!Simiyu moja hyooo!!!wape hi sanaa
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Sitegemei kabisaTegemea hayo![]()
Mzee wa totoz...!
Kwema sana mzee wa BariadiHaha...we jamaa bhana
Kwema mkuu
Hata hujatania mkuu mimi ni mzee wa totozKwema sana mzee wa Bariadi
Nimekutania mkuu dont take it serious
Kula kipindi meno bado ipo
Mpigie Sala nzito aanze kunywa mango juice tuMweeeh mweeeh mweeeeh
HahaaaaaaTanga rahaaaaaa... unafaidi we mshenzi.. na mie nipo na busi naenda mbeyakwa kina mwakaleli.. nikaone watu walio jaaliwa neema za allahView attachment 2139850
🤣🤣🤣 zile zenye magonjwa yako nyemelezi...Hata hujatania mkuu mimi ni mzee wa totoz
Napenda sana totoz hasa zile totoz zenye kubarikiwa/jaliwa ugonjwa/magonjwa yangu yote nyemelezi
KARIBU Bariadi-Simiyu
Daah afu nilikuwa nimefunga mweehHiyo ilikua mlo wa Jana usiku. Mara nyingi usiku sipendi kupiga heavy weight. Ntasinzia au kuchoka wakati natakiwa nikae macho kufanya kazi.
Ila sio Kila siku. Inategemea na ratiba.
Kama hapa si unaona zagazaga nyingiiiiView attachment 2139421
Heaven Sent atakuja kutoa maelezo zaidi
Mdogo angu umebeba masweta? Na ulivyo kibongeTanga rahaaaaaa... unafaidi we mshenzi.. na mie nipo na busi naenda mbeyakwa kina mwakaleli.. nikaone watu walio jaaliwa neema za allahView attachment 2139850
Nimekaa sana Russia baridi la mbeya kitu gani mamaaaaaa Heaven SentMdogo angu umebeba masweta? Na ulivyo kibonge