Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kila kitendo cha dhambi ambacho mwadamu hufanya, huondoa sehemu ya upendo wake kwa Mungu ( huondoa sehemu ya maisha ambayo Mungu amempa mwanadamu), dhambi inafanya maisha kuwa mafupi you know .. The good things neema ya Mungu ipo kuturudisha katika pendo letu la kwanza..

Ufunuo wa Yohana 2:4
Lakini nina neno juu yako, ya kwamba umeuacha upendo wako wa kwanza.

Ufunuo wa Yohana 2:5
Basi, kumbuka ni wapi ulikoanguka; ukatubu, ukayafanye matendo ya kwanza. Lakini, usipofanya hivyo, naja kwako, nami nitakiondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu.

Furahiday njema..
Hivi watu mnajuaje kuwa siku zenu za kuishi zimepungua
 
Go and read your bible ujue nini kilifanya Mungu apunguze umri wa kuishi wa mwadamu.. na soma utaona nini kitafanya uwe na maisha marefu
Bado hujajibu swali langu! Unajuaje kama umri wa mtu wa kuishi umepungua kwamba labda alitakiwa aishi miaka kadhaa ila kwa sababu fulani akafariki kabla ya wakati?
 
Exhausted!!!!!!🥴🥴🥴
Screenshot_20220304-160405_Digital Wellbeing.jpg
 
Back
Top Bottom