Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20220304-061650.jpg
 
Kila kitendo cha dhambi ambacho mwadamu hufanya, huondoa sehemu ya upendo wake kwa Mungu ( huondoa sehemu ya maisha ambayo Mungu amempa mwanadamu), dhambi inafanya maisha kuwa mafupi you know 😳😳.. The good things neema ya Mungu ipo kuturudisha katika pendo letu la kwanza..

Ufunuo wa Yohana 2:4
Lakini nina neno juu yako, ya kwamba umeuacha upendo wako wa kwanza.

Ufunuo wa Yohana 2:5
Basi, kumbuka ni wapi ulikoanguka; ukatubu, ukayafanye matendo ya kwanza. Lakini, usipofanya hivyo, naja kwako, nami nitakiondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu.

Furahiday njema.. 😁😁😁
 
Si unajua mtu akiwa kapita pita darasani akiamua kuwa tapeli.. namna anavyokuwa mkali.. Reference : Nigerian 😎😎
😆😆😆 I knowww...utapeli wa kisomi 👊🏾👊🏾

Ila ndugu zetu hao ni moto wa kuotea mbali! Nikienda kwao next month inabidi niwe nimechangamka nisije nikarudi sijielewi 🥴
 
Back
Top Bottom