Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,771
😃😃😃 mbona mtu kaisha lizwaaa zamani,Ngoja 9.8ms squared alete mrejesho ndo tutajua kama tunaendelea na nyie au tutafute kabila lingine 😁😁
😃😃😃 mbona mtu kaisha lizwaaa zamani,Ngoja 9.8ms squared alete mrejesho ndo tutajua kama tunaendelea na nyie au tutafute kabila lingine 😁😁
[emoji1787]Ni Mwendo wa umbo la 7 Kazi kwisha, mzagamuo ile ile [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umetisha sana 😁👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾😃😃😃 mbona mtu kaisha lizwaaa zamani,
Portable and flexible
Si unajua mtu akiwa kapita pita darasani akiamua kuwa tapeli.. namna anavyokuwa mkali.. Reference : Nigerian 😎😎Umetisha sana 😁👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾👊🏾
😆😆😆 I knowww...utapeli wa kisomi 👊🏾👊🏾Si unajua mtu akiwa kapita pita darasani akiamua kuwa tapeli.. namna anavyokuwa mkali.. Reference : Nigerian 😎😎
😃😃😃😃 Wanaweza wakakuiba na weweee... sinza siku hizi wa Nigeria wamekuwa wengi sana.. sijui kuna nini tu hapi😆😆😆 I knowww...utapeli wa kisomi 👊🏾👊🏾
Ila ndugu zetu hao ni moto wa kuotea mbali! Nikienda kwao next month inabidi niwe nimechangamka nisije nikarudi sijielewi 🥴
😳😳😳 kumbe ndio weweee hapo
Na hawashindwi wale 😂😂😂😂😃😃😃😃 Wanaweza wakakuiba na weweee... sinza siku hizi wa Nigeria wamekuwa wengi sana.. sijui kuna nini tu hapi
Kabisa 😁😁😁😳😳😳 kumbe ndio weweee hapo
😃😃😃 sasa hao watoto wa mjini mbona wanapigwa kweli kweli nao na watu waliozaliwa mjini.. ujue kuna kuwa mtoto wa mjini na kuna kuzaliwa mjiniNa hawashindwi wale 😂😂😂😂
Michongo probably! Si wanasemaga Sinza ndo wanapoishi watoto wa mjini 😏
Ndo wamekutana sasa 😐
True that!👊🏾👊🏾 😁😃😃😃 sasa hao watoto wa mjini mbona wanapigwa kweli kweli nao na watu waliozaliwa mjini.. ujue kuna kuwa mtoto wa mjini na kuna kuzaliwa mjini