cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Asante 🙏Dea umetokelezea,![]()





Dunia haiishi maajabu lol.Nakwambia?![]()





tatizo hilo neno haliko ktk kamusi, ndo maana Serikali haijachukulia uzito wowote, ila majina mengine khaaaaahMi mama alinipeleka hapa, mzee alikua amesafiri nje. Kurudi kusikia jina la hii shule nikarudishwa Arusha fastatatizo hilo neno haliko ktk kamusi, ndo maana Serikali haijachukulia uzito wowote, ila majina mengine khaaaaah
Mbona kama kulikuwa na mvurugano hapa usiku nzima?

Amna shuuli yoyote ilofanyika usiku ukizingatia nalala kama panga storeMi mama alinipeleka hapa, mzee alikua amesafiri nje. Kurudi kusikia jina la hii shule nikarudishwa Arusha fastaView attachment 2138206





jamani hivi ni kweli shule hiyo ipo? Nkajua pale Twitter ni editing lolWalah tena, ipo Kenya hii, kule Kisumu kwenye county ya Siayajamani hivi ni kweli shule hiyo ipo? Nkajua pale Twitter ni editing lol




kulikua na match ya kukata na shoka, ila tatizo uwanja mdogo mnoo, wachezaji hawakua wanatanua mashambulizi. UwiiiiiiihWalah tena, ipo Kenya hii, kule Kisumu kwenye county ya Siaya




mbavu zangu mie lol.Ila ni bonge la shule despite the name






watu wanahisi jina ndo linafundisha hao wanafunzi, kumbe n tofauti kabisaaa.watu wanahisi jina ndo linafundisha hao wanafunzi, kumbe n tofauti kabisaaa.





