Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,384
Mkuu nakuhurumia saaana!Ivi kumbe anacho ee..
Mie sijaona banaa
Nilishasema hapa kuwa "ogopa matapeli. Hakuna Mnyaki ambaye hana (li)kishundu". Mwisho wa kujinukuu





Mkuu nakuhurumia saaana!Ivi kumbe anacho ee..
Mie sijaona banaa





Hizo picha mnapeane kindugu et


zinatumwa hapa huzioni!Navaaga sana tuu!!tena mnoooNawee unavaa skuna? Mlongo?sitaki kuamini hata. Lol
Weee!niamkie bwamdogoBinti kabisa, tena mbichi
Akaaaah mie sitaki ujue lol,





JD lazima ufate mwenyewe!..ukitupia pic unapata nambaNiache, nifeli wapi nimesema nna A ila staki unipe B, japo ilinitoa jasho uwiiih,
Picha kesho usiku lect, afu no ya waiter vipi? Na Jack Daniel's pia kuna mtu namtuma kuja kuchukua.![]()

Student uwe unanitag
JD kuna mtu namtuma, kuhusu pic c ni kesho au?JD lazima ufate mwenyewe!..ukitupia pic unapata namba![]()





Kila nikichek naona zimefutwa uwe unanitag basi
Eeeeh kukutag tyuuh ondoa shaka lect angu,Student uwe unanitag



Kesho nitawekaHebu wee weka yako, Nataka nikuone kuanzia miguu had kifuani,
Pole Mr.BillKila nikichek naona zimefutwa uwe unanitag basi
Shem langu. Tangu juzi napishana na picha zako mpaka siyo poa yaani. Kuna haja ya kufanya kikao na Wasukuma wenzangu tuone inakuwaje. Biya gete. Nalemaga!
Kesho kaa mkao wa kula kutakua na zawadi ya vocha hapa mida flani nitatupiaWeka muamala@Mjep ananidanganya daily afu sura la baba ili mtapasua kamera
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Uko mrembo mzuri mzuri, lazima uambiwe wee n mnyaturu, km mie navoambiwa eti mrangi, akat ni mngoni pure wa peramiho.






Unamwagia sifa huku ukijisifia na weweUko mrembo mzuri mzuri, lazima uambiwe wee n mnyaturu, km mie navoambiwa eti mrangi, akat ni mngoni pure wa peramiho.![]()

Shem langu. Tangu juzi napishana na picha zako mpaka siyo poa yaani. Kuna haja ya kufanya kikao na Wasukuma wenzangu tuone inakuwaje. Biya gete. Nalemaga!



pole shemeji yaani inabidi ukaoge tena maji ya mto Simiyu kwa kweliUnamwagia sifa huku ukijisifia na wewe![]()




lect sasa namuambia ukweli hata yeye anajua, rangi ndo sababu, kwa rangi hiyo akisema ni mtu wa kwetu hawezi kuaminiwa. Uwiiiiih