Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28]weee acha bwana!huwajui wazurii eehhhh

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Shem langu. Tangu juzi napishana na picha zako mpaka siyo poa yaani. Kuna haja ya kufanya kikao na Wasukuma wenzangu tuone inakuwaje. Biya gete. Nalemaga!
 
[emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28]weee acha bwana!huwajui wazurii eehhhh

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Uko mrembo mzuri mzuri, lazima uambiwe wee n mnyaturu, km mie navoambiwa eti mrangi, akat ni mngoni pure wa peramiho. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shem langu. Tangu juzi napishana na picha zako mpaka siyo poa yaani. Kuna haja ya kufanya kikao na Wasukuma wenzangu tuone inakuwaje. Biya gete. Nalemaga!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pole shemeji yaani inabidi ukaoge tena maji ya mto Simiyu kwa kweli

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom