Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Bina Mimi nimekubali kupitwahaya sasa umefeli nfanyeje sasaaa!???tuma muamala
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Bina Mimi nimekubali kupitwahaya sasa umefeli nfanyeje sasaaa!???tuma muamala
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Ni leo tu nkamu
Daah Mtumishi...Mkuu nakuhurumia saaana!
Nilishasema hapa kuwa "ogopa matapeli. Hakuna Mnyaki ambaye hana (li)kishundu". Mwisho wa kujinukuu![]()
Watu siku hizi wanaweka vitu vyenyewe alafu wana hesabu ha tano.. ikipata unakuta na taarifa njema tu.. unaishia kula manyoya na kujiramba ulimiBlaza tunapishana na michongo
Kimbaumbau mwenzangu, hizo neema za Allah mimi nizipatie wapi jamani?
Nakubali maneno yako mkuuMkuu nakuhurumia saaana!
Nilishasema hapa kuwa "ogopa matapeli. Hakuna Mnyaki ambaye hana (li)kishundu". Mwisho wa kujinukuu![]()
Unavyomsifia hivi unadhani Mimi najiskiaje. Acha unyanyasaji






Wiki hii haupitwi kabisaNi leo tu nkamu
Nakusalimia baunsa bongemamaaa pastaaa Heaven Sent kaamua kuniweka nja ya frequency zake.. akiona mawimbi yangu yapo low.. anaweka mzigo wenyeweee.. nakuta manyoya.. dah! acha nimsubiri anaweza labda nifirikia hata pm
Kwani hujawahi ona picha zangu hadi uamini kuna kishundu?
Mimi nimeziehiludia live bila chenga, mama mtumishi umejaaliwa Neema za Allah na kile kiatu cha mchuchumio dah..........😍Kimbaumbau mwenzangu, hizo neema za Allah mimi nizipatie wapi jamani?
Sent using Jamii Forums mobile app
dah! mmefaidi 😒😒Mimi nimeziehiludia live bila chenga, mama mtumishi umejaaliwa Neema za Allah na kile kiatu cha mchuchumio dah..........😍
Mimi nimeziehiludia live bila chenga, mama mtumishi umejaaliwa Neema za Allah na kile kiatu cha mchuchumio dah..........![]()




Mimi huyu?Wewe huyo huyo.......Mimi huyu?
Ngoja nikalaleeWewe huyo huyo.......
Tuache basi na bonge la selfie kabla hujaomdokaNgoja nikalalee
Em selfika na wewe Leo kidogoTuache basi na bonge la selfie kabla hujaomdoka
Mama mchungaji mimi nimeahidi kesho, kwa sasa niko ndani ya blanketi tayariEm selfika na wewe Leo kidogo
Na mimi nimeshazima na taaMama mchungaji mimi nimeahidi kesho, kwa sasa niko ndani ya blanketi tayari
Wanasemaga mtu wa Tanga nikiwambia wa Kusini hukoo wanashangaa!!!kuna Dr mmoja ndo aliua bendi nilimpeleka baba Hosp nilimtajia kabila langu alibisha Sana'a
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app





huwa nacheka sana mie kila nakopita eti mie mrangi khaaah, jaman huo urangi nautoa wapi? 


nakerekwaga mie.