Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Nakumbuka 2018 nilipata ugeni wa jirani mmoja saa tisa za usiku.. anaogopa kulala peke yake πππππ.. kaingia ndani na taulo keupeeee.. kha! nikamuambi poa karibu upumzike asubuhi urudi kwako, anaanza kukagua ndani kama kuna mtu anaogopa kufamaniwa.. picha likaisha ikawa the end ππππJiraniiii....!πππ
Tuanze hili zoezi rasmi mwezi wa tatu...!
Nnavyopenda kutembeleana mie, usije ukanichoka tuu π .
