Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jiraniiii....!πŸ˜ŠπŸ˜‰πŸ˜‰

Tuanze hili zoezi rasmi mwezi wa tatu...!

Nnavyopenda kutembeleana mie, usije ukanichoka tuu πŸ˜….
Nakumbuka 2018 nilipata ugeni wa jirani mmoja saa tisa za usiku.. anaogopa kulala peke yake πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„.. kaingia ndani na taulo keupeeee.. kha! nikamuambi poa karibu upumzike asubuhi urudi kwako, anaanza kukagua ndani kama kuna mtu anaogopa kufamaniwa.. picha likaisha ikawa the end 😎😎😎😎
 
IMG_20220219_200329.jpg
 
Utafaidi sana maana wageni waingiapo huleta baraka ndani.. so lazima mgeni afurahishweee 😊😊😊

Aiseee huo mwezi wa tatu ufike haraka...😊😊

Like wise ukiwa mgeni wa Kasinde jiandae kula mapochopocho na madikodiko. Sharti langu tuu napenda mgeni afike ndo nianze kupika, wakati napika unakarimiwa na aidha karanga au korosho na wine πŸ·πŸ˜‹.

Kikiiva unakula chamotooo kinaenda kupolea tumboni πŸ˜….
 
Nakumbuka 2018 nilipata ugeni wa jirani mmoja saa tisa za usiku.. anaogopa kulala peke yake πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„.. kaingia ndani na taulo keupeeee.. kha! nikamuambi poa karibu upumzike asubuhi urudi kwako, anaanza kukagua ndani kama kuna mtu anaogopa kufamaniwa.. picha likaisha ikawa the end 😎😎😎😎

Huyo jirani yako ni shujaa...!!!😁😁

Sasa picha liliishaje kirahisi rahisi hivyo jirani???πŸ˜…πŸ˜…
 
Aiseee huo mwezi wa tatu ufike haraka...😊😊

Like wise ukiwa mgeni wa Kasinde jiandae kula mapochopocho na madikodiko. Sharti langu tuu napenda mgeni afike ndo nianze kupika, wakati napika unakarimiwa na aidha karanga au korosho na wine πŸ·πŸ˜‹.

Kikiiva unakula chamotooo kinaenda kupolea tumboni πŸ˜….
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ watu wakisoma hii comment wataanza ku pa google.. sio kwa introduction ya huo ukarimu wa kinyamwezi.. kuna wageni wakorofi watataka kuhamia kabisa..
 
Huyo jirani yako ni shujaa...!!!😁😁

Sasa picha liliishaje kirahisi rahisi hivyo jirani???πŸ˜…πŸ˜…
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ haaa niliogopa kwanza.. mgeni na kitaulo tupu ndani hajavaa kitu alafu mgeni alikuwa na maswali ya kiwaki hujao, mala unanidanganya mkeo kaenda wapi.. nikajisemea huu utawala wa Magu asije kuwa spy maana nilakaa pale karibia mwaka mzima alafu nilikuwa sitokagi kila kitu nilikuwa naletewa na kudumiwa..
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ watu wakisoma hii comment wataanza ku pa google.. sio kwa introduction ya huo ukarimu wa kinyamwezi.. kuna wageni wakorofi watataka kuhamia kabisa..

Aahahahahahaa Kasinde huwa haaliki tuu mgeni yeyote....

Huwa kuna namna mgeni akakirimiwa karanga za Tabora zilizookwa kwa moto hafifuu... siku ukikutana na korosho basi karanga zakuwa zimeisha.
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ haaa niliogopa kwanza.. mgeni na kitaulo tupu ndani hajavaa kitu alafu mgeni alikuwa na maswali ya kiwaki hujao, mala unanidanganya mkeo kaenda wapi.. nikajisemea huu utawala wa Magu asije kuwa spy maana nilakaa pale karibia mwaka mzima alafu nilikuwa sitokagi kila kitu nilikuwa naletewa na kudumiwa..

Hapo nimekuelewa jirani.

Tuko wing moja 😊😊.
 
Aahahahahahaa Kasinde huwa haaliki tuu mgeni yeyote....

Huwa kuna namna mgeni akakirimiwa karanga za Tabora zilizookwa kwa moto hafifuu... siku ukikutana na korosho basi karanga zakuwa zimeisha.
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ karanga za izimbili au tutuo... au goweko kwenye asali nyingi nyingi mixer mihogo na karanga.. mihogo mitamuuu na asali yake pureee πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ lazima virutibisho vinakuwa virutunisho kweli joto lake mtoto anaungua
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ raha sana yakipigwa na mixer manukato ohoooo.. pembeni asali, na karanga au kanazi.. na vi strawberry unatafuna tu

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wee Holy weweee.....

Utaua watoto.....

Hapo ndo unawaita wagugo sasa πŸ˜„πŸ˜„.

#Mungu ibariki kazi ya mikono yangu 😊.
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ karanga za izimbili au tutuo... au goweko kwenye asali nyingi nyingi mixer mihogo na karanga.. mihogo mitamuuu na asali yake pureee πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ lazima virutibisho vinakuwa virutunisho kweli joto lake mtoto anaungua

Holy man....

Rejea basi hili jina na karoad trip kamoja kabarikiwe πŸ˜‰.

Maana umegusa penyeweee.
 
Back
Top Bottom