Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,771
Unaandaliwa supu ya uyoga au uyoga na karanga.. unakandwa na mvuke wa mafuta ya viungo chumba chote marashi... ngozi inazidi kuwa myororo kama kichanga 😃😃😃😃 ndio upumzikeSawa jirani...
Acha nami niheme, mchakamchaka ulikuwa mnene....😅😅.