Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20220216_154533_com.whatsapp_edit_28726077993532.jpg
 
Wakristo wangeruhusu wake zaidi ya mmoja maana mwanaume tunapenda vitu tofauti tofauti kwa wanawake au mtaalamu unasemaje
Mi wala huwa sielewi. Tulifika fikaje kwenye mke mmoja wakati miamba ya imani mingi tu katika Agano la kale ilikuwa na wake wengi? Ni kweli mtu atakwenda motoni kwa kuoa mke zaidi ya mmoja? Akina Solomoni waliooa wake 700 wao itakuwaje au kwa vile wao walikuwa wanaishi katika sheria na siyo Neema ya Yesu?

Imagine unakuwa nao wanne kama wa huyu mwamba hapa dah!
JamiiForums-2088362235.jpg
 
Mi wala huwa sielewi. Tulifika fikaje kwenye mke mmoja wakati miamba ya imani mingi tu katika Agano la kale ilikuwa na wake wengi? Ni kweli mtu atakwenda motoni kwa kuoa mke zaidi ya mmoja? Akina Solomoni waliooa wake 700 wao itakuwaje au kwa vile wao walikuwa wanaishi katika sheria na siyo Neema ya Yesu?

Imagine unakuwa nao wanne kama wa huyu mwamba hapa dah!
View attachment 2121095
mhhh, kweli kila mtu na ladha yake 😀😀😀😀😀😀.
 
Mi wala huwa sielewi. Tulifika fikaje kwenye mke mmoja wakati miamba ya imani mingi tu katika Agano la kale ilikuwa na wake wengi? Ni kweli mtu atakwenda motoni kwa kuoa mke zaidi ya mmoja? Akina Solomoni waliooa wake 700 wao itakuwaje au kwa vile wao walikuwa wanaishi katika sheria na siyo Neema ya Yesu?

Imagine unakuwa nao wanne kama wa huyu mwamba hapa dah!
View attachment 2121095
😀😀😀 Peponi kama kawa tunaingia.. Hatari ya wake wengi ni ule muunganiko wa nafsi.. kama wakiwa na backgrounda mbaya ya miungu miovu, wanaweza hamisha moyo wako.. mwanamke ana nguvu.. hayo ndio majanga yalimkuta kijana Solomon.. Mke mmoja kazi inahitaji ujitoe ufahamu kweli 😅😅😅
 
Back
Top Bottom