Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,384
Mkuu heshimu ugali puliziUnakula ugali mkuuubwa kumbe maskini unajaza wanga tu mwilini....ukiangalia vzr huo msosi umebalance virutubisho vyote muhimu

Mkuu heshimu ugali puliziUnakula ugali mkuuubwa kumbe maskini unajaza wanga tu mwilini....ukiangalia vzr huo msosi umebalance virutubisho vyote muhimu

Eti mkuu. Mimi kweli unaniita mkuu! Nitakushtakia kwa Pep...Mkuu samahani,naomba unikumbushe yale maelekezo namna ya kufanya kwenye setting ya simu ili jf App iweze kuonyesha picha kama kawaida
😀😀😀😅 labda ungechukua ya laki tano ungepitaUmenichekesha sana. Ukifanya hivyo huwezi kununua kitu aisee. Mara ya kwanza nimeenda London kwenye interview nikatakiwa kutafuta suti eti presentable nilipata tatizo hilo. Suti eti inauzwa £170. Mi nikipiga mahesabu nakuta ni karibia laki 5. Nikawa najisemea kweli ninunue suti laki 5? Nikakomaa tu na suti niliyokuwa nimekwenda nayo...na kazi sikupata
Pizza hii ni ya binti alikuwa ameagiza na marafiki zake. Na anajua mi wala siyo mpenzi wa mavyakula yao haya ya kiutopolo. Nikila kakipande kamoja tu basi kanatosha...halafu nakasukumizia na bonge la ugali kwisha habari
View attachment 2120332
Aaa wapi! Ningepoteza hela zangu bure tulabda ungechukua ya laki tano ungepita

😀😀😀😀Aaa wapi! Ningepoteza hela zangu bure tu![]()
Tangu umeamua kuua undugu basi nitakuwa nakuita tu mkuu.Eti mkuu. Mimi kweli unaniita mkuu! Nitakushtakia kwa Pep...
Be careful. Sisi twaweza kuwa ndo wazee tutakaokuja ku-negotiate mahari!
Nimeshakuelekeza tayari...Tangu umeamua kuua undugu basi nitakuwa nakuita tu mkuu.
Nielekeze basi ,nakumbuka ulimuelekeza Khantwe na mimi nikadesa kimyamimya ila sasa nishasahau.

Uache tu ufe,tuendelee kuitana mkuu.Nimeshakuelekeza tayari...
Undugu ulikufa kwa sababu za kipuuzi tu halafu. Nifanyeje ili niufufue? Hata ukinipiga faini niko tayari kulipa![]()
AsanteNimeshakuelekeza tayari...
Undugu ulikufa kwa sababu za kipuuzi tu halafu. Nifanyeje ili niufufue? Hata ukinipiga faini niko tayari kulipa![]()
Wa kishua kaka yangu

Tenda muujizaHivi huyu mrembo anamilikiwa na nani?
Umenichekesha sana. Ukifanya hivyo huwezi kununua kitu aisee. Mara ya kwanza nimeenda London kwenye interview nikatakiwa kutafuta suti eti presentable. Suti yenyewe eti inauzwa £170. Mi nikipiga mahesabu nakuta ni karibia laki 5. Nikawa najisemea kweli ninunue suti kwa laki 5? Nikakomaa tu na suti niliyokuwa nimekwenda nayo...na kazi sikupata
Pizza hii ni ya binti alikuwa ameagiza na marafiki zake. Na anajua mi wala siyo mpenzi wa mavyakula yao haya ya kiutopolo. Nikila kakipande kamoja tu basi kanatosha...halafu nakasukumizia na bonge la ugali kwisha habari
View attachment 2120332
sijakuona siku nyingi aseeee.. ebu tufanye mpango tukutane dodoma 😀😀😀😀😀Wa kishua kaka yangu![]()
Haikuwa shughuli ndogo 😀😀😀.. kama unajua unajua tu
Siku zote tulikuwepo wote hujanitafuta,unataka nifunge safari kuja Dodoma?sijakuona siku nyingi aseeee.. ebu tufanye mpango tukutane dodoma![]()
Rais, Waziri mkuu, spika.. wakitaka kukutana wote hufunga safari kutoka Dar kwenda dodoma 😎😎😎.. Pa kukutania ni dodomaSiku zote tulikuwepo wote hujanitafuta,unataka nifunge safari kuja Dodoma?
Safi mkuu haya Mambo muhimu Sana kupasha pasha misulibilldrago mambo yetu hayaaa View attachment 2120304
Ooh pole kwa kukosa kazi yenye malipo ya uzito (pound)joke
Sasa we uliona wapi msukuma akatulia ndani ya suti...
Itakuwa ulisumbuka sana na koti mara uweke mikono mfukoni mara utoe leso kwenye mifuko ya ndani ya koti hata watahini wakahofu unataka kuwabastola
Speaking of Pitzza, if you wanna kill Kasie just spray poison on a pizza, ill die softly while chewing
.
Let Thursday come, I'll tropical myself at the pizzeria.
Cheers to your queen, if she love travelling like Kasie, ill offer a heart pizza for her and a trip to Mongolia.
Happy Tuesday.View attachment 2120357
Kiporo kinapashwa.![]()