Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Picha za ku download hiziJf kama jf haya ndio maisha ya wanna jf
Picha za ku download hiziJf kama jf haya ndio maisha ya wanna jf
Hadi udenda!!!Mi wala huwa sielewi. Tulifika fikaje kwenye mke mmoja wakati miamba ya imani mingi tu katika Agano la kale ilikuwa na wake wengi? Ni kweli mtu atakwenda motoni kwa kuoa mke zaidi ya mmoja? Akina Solomoni waliooa wake 700 wao itakuwaje au kwa vile wao walikuwa wanaishi katika sheria na siyo Neema ya Yesu?
Imagine unakuwa nao wanne kama wa huyu mwamba hapa dah!
View attachment 2121095
Badili dini.. simpleWakristo wangeruhusu wake zaidi ya mmoja maana mwanaume tunapenda vitu tofauti tofauti kwa wanawake au mtaalamu unasemaje
Na huipatiNina masaa mawili nasaka meme ya Njombe Mgendera. Bahati yako sijaipata![]()
Wige anacheka tu
Nani kama kaka??🤗🤗🤗Roho kwatuuuuu
Dah..jamani! Wazee wa imaginations watanielewa!!
Imagination zipi hizo rafiki ?Dah..jamani! Wazee wa imaginations watanielewa!!
Nani kama kaka??
Kaka yangu mwenye busara zake![]()
Kwa misingi ipi
Au nijipige mnada hapa mlimani city,hela ya manunuzi atachukua kaka.
Niko poa rafiki, mmeshinda sio?Imagination zipi hizo rafiki ?
Haujambo ?
Ooh yesNiko poa rafiki, mmeshinda sio?
We have our very own special outing dadangu.Wivu sina ila roho inauma hamjanialika na dada ako