Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Nikiwa dar es salaam.. sio mtembeaji nakuwa kama broiler ππEeeh!??
Unasema??πππ
Nikiwa dar es salaam.. sio mtembeaji nakuwa kama broiler ππEeeh!??
Unasema??πππ
Mungu anakuonaNikiwa dar es salaam.. sio mtembeaji nakuwa kama broiler ππ
kwani joto la dar halijakubadirisha kidogo πππ na pilika pilika zake πππMungu anakuona
Halafu ndio unasema nimebadilika!
Yaani kwamba ndio mabadiliko uliyomaanisha?π€£kwani joto la dar halijakubadirisha kidogo πππ na pilika pilika zake πππ
πππ kwani ulijua mabadiriko gani tena jamaniYaani kwamba ndio mabadiliko uliyomaanisha?π€£
Sawaπππ kwani ulijua mabadiriko gani tena jamani
Kutokea hapa ulipo piga picha hadi nilipo hazizidi mita 200m.. nipo tu hapa kona bar
Nakuona tu ipo siku nitakutoa ghafla tu![]()

Nimebadilika mimi au wewe?

Ukitoka kazini njoo mahala kama hutaki mshitukizo![]()

Unajua pa kunipata ila hutaki tu kuja.

Mie sio mtembeaje ujue eeh![]()

Eeeh!??
Unasema??![]()

Nikiwa dar es salaam.. sio mtembeaji nakuwa kama broiler![]()

Eeeh! niacheni na kadogo kangu aseee.. ππ
Nipo SinzaKutokea hapa ulipo piga picha hadi nilipo hazizidi mita 200m.. nipo tu hapa kona bar
Ewaaa na mie nipo sinzaaa.. hapo ulipo piga picha napajua pembeni chuo cha ustawi hapo.. mie nipo nyuma yako tu hapa.. πππNipo Sinza
Piga picha tuoneEwaaa na mie nipo sinzaaa.. hapo ulipo piga picha napajua pembeni chuo cha ustawi hapo.. mie nipo nyuma yako tu hapa.. πππ
Napiga picha huamini ngoja nifanye ku share location picha leo nina kitochi πππPiga picha tuone