reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,427
- 29,306
Mawigi navaa Mara chache sana!napenda natural hairOoh iwe hivyo ,la sivyo nitaanza kuvaa mawigi kila sehemu .
Mawigi navaa Mara chache sana!napenda natural hairOoh iwe hivyo ,la sivyo nitaanza kuvaa mawigi kila sehemu .
Natural hair ni nzuri zaidi .Mawigi navaa Mara chache sana!napenda natural hair
Ni kweli kabisa,Sawa "Mtakatifu". "Undugu" huwa haulazimishwi mkuu![]()
Sawa mkuu!Ni kweli kabisa,
Undugu haulazimishwi kama mimi nilivyokuwa najaribu kuulazimisha kwa nguvu.



Sawa mkuu,Sawa "Mtakatifu"![]()
EwaaaNimekua single muda mrefu sana ni muda toka mmeniacha!😉
Mungu anakuona ujue😂😔😔😔😔😔
Aisee. Uliwapatia kwa kweli. Wasukuma kwa vyakula kwa kweli tuko vizuri.loohhh!!!musukuma ndani ya penzi la kizaramo lazma uombe poo!!kupika asili yetu aseehh!!sijisifu Ila watu wa pwani wanajua kupika!!!Mi napenda sanaa kupika Shem niliendaga usukumani mpk Leo Hawanisahau kwa mapishi,kulima siwezi,kutwanga siwezi nilipewa sekta ya jikoni tu!nlikua nkienda wanafurahia balaa!!!then nkajifunza kupika mlenda wa Karanga, mama anasema "mwinga wangu amekuja sasa tunakula kujiramba"



Nawe pia mkuu!Sawa mkuu,
Uwe na usiku mwema.
This is the secret of the so called super couples!
Siku ukiniita mimi mkuu nakufuata kwenu na pangaSawa mkuu,
Uwe na usiku mwema.
Nimeshaimaliza na kufuta mkuu.Naomba hii ishu iishe basi. Mkuu please![]()
Nina masaa mawili nasaka meme ya Njombe Mgendera. Bahati yako sijaipataushindwee


