Sawa mkuu nitazifikisha keshokutwaNilikuwa nimemsahahu.. nime kamis kampenzi kangu.. code mandevu mwenye noah nyeusi anamsalimia akishindwa elewa mandevu geita anamsalimia.. ukikutana na naomi muambie Levi ana msalimia.
Bora wewe umesema, Mimi nilichelewa kutype 😁Nakukubali sana mkuu.. Mungu akupe maisha marefu.. upo simple short and clear 💪💪💪💪
😀 yupo kipekee sana.. roho nyeupeee.. hana makuuBora wewe umesema, Mimi nilichelewa kutype 😁
Daaah, nilikuwa sijaifatilia. Mimi mwenye mtaji wa mbuzi naangalia kwa mbaali. Inawafaa nyinyi wenye 5-figures capitalUmeona WTI ilivyo mwaga pesaaa kwanza...
Jumatatu nilienda hapo Mawasiliano Park sijui. Aisee mbona pa kawaida sana. Overrated. Au kwakua madogo wameanza UE?😀😀😀😀... Basi tumkatae apambane na hali yake mie sikumtuma afanye alichofanya.. kuna chimbo jipya inafaaa hii chuma tuipeleke..
Nimependa trading style yako.. una focus na single pair kwanza nzuri sana.. jana WTI mida kama hii ilitoa jasho 😀😀😀 nilikuwa nime sell around kwenye 90 ikafumuka hadi 93.84 ikaenda aginst na mimi nilichofanya nikafungua position kama mvua ilipokuwa 93.84 nilijua lazima ishuke.. kilichopelekea kauli zao za Rusia na Ukraine.. ila ilinibana sikulala hadi saa tisa alafajiriDaaah, nilikuwa sijaifatilia. Mimi mwenye mtaji wa mbuzi naangalia kwa mbaali. Inawafaa nyinyi wenye 5-figures capitalView attachment 2120471
Unaendaje sehemu kama mawasilino park asee.. acha kujitoa nyota mabeganiJumatatu nilienda hapo Mawasiliano Park sijui. Aisee mbona pa kawaida sana. Overrated. Au kwakua madogo wameanza UE?
Dah ngoja nitulie.. viwanja vya Haile Selassie me sikijui ata kimojaUnaendaje sehemu kama mawasilino park asee.. acha kujitoa nyota mabegani
😀😀😀 haile selassie ma viwanja yake hayana vibe yana bebwa na majina.. cheza sinza hapo. una badili tu locationDah ngoja nitulie.. viwanja vya Haile Selassie me sikijui ata kimoja
Ya kweli hayo??mbinguni tunagawiwa tu hao viumbe kila mtu anapata sitini
Sawa "Mtakatifu". "Undugu" huwa haulazimishwi mkuuUache tu ufe,tuendelee kuitana mkuu.
Hauna maana tena.

Mkuu heshimu ugali pulizi![]()
Nimekua single muda mrefu sana ni muda toka mmeniacha!😉Tenda muujiza
Kuna shehe Fulani alisema peponi tunapewa mizigoYa kweli hayo??

Bado nalinda capital. Nyie mpo mbali Sana hata sl hamuijui.Nimependa trading style yako.. una focus na single pair kwanza nzuri sana.. jana WTI mida kama hii ilitoa jashonilikuwa nime sell around kwenye 90 ikafumuka hadi 93.84 ikaenda aginst na mimi nilichofanya nikafungua position kama mvua ilipokuwa 93.84 nilijua lazima ishuke.. kilichopelekea kauli zao za Rusia na Ukraine.. ila ilinibana sikulala hadi saa tisa alafajiri
Ooh pole kwa kukosa kazi yenye malipo ya uzito (pound)joke
Sasa we uliona wapi msukuma akatulia ndani ya suti...
Itakuwa ulisumbuka sana na koti mara uweke mikono mfukoni mara utoe leso kwenye mifuko ya ndani ya koti hata watahini wakahofu unataka kuwabastola
Speaking of Pitzza, if you wanna kill Kasie just spray poison on a pizza, ill die softly while chewing
.
Let Thursday come, I'll tropical myself at the pizzeria.
Cheers to your queen, if she love travelling like Kasie, ill offer a heart pizza for her and a trip to Mongolia.
Happy Tuesday.View attachment 2120357
Kiporo kinapashwa.![]()



Sheikh Kipozeo. Kama kuna siku nitaslimu basi ni kwa sababu ya huyu mwamba. Mizigo shekhe...halafu anatwanga Kiarabu na makwotesheni kibao ya mitume ili kuthibitisha hoja zake. Ni burudani tosha hata kama huelewi anachokisemaKuna shehe Fulani alisema peponi tunapewa mizigo![]()



🤣🤣🤣 Mi siwezagi kugombana kwa maneno Shem ukiwa karibu yangu ukazinguaa nakusendisha to hell tu sina maneno ya kurushiana kabisa Mimi!🚶🚶Shem visu vya nn tena,, makubaliano yalikuwa visu vyatumiwa kukata nyanya jikoni