Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Mazalia ya mbu hayapo, dawa ya kupuliza haifai kwa sababu sehemu za kuingilia zipo kibao kwa hiyo unaua hawa wanaingia wengine...suluhisho kwangu mimi ni net tu hata kula muda mwingine nalia kwenye netmazingira yako kuhakikisha yapo clean na yanayo zunguka home + plus dawa kupuliza mazingira kuuwa wadudu na mazalia yake a. k. a fumigation




