Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20220214_220030.jpg
 
Mbali na hiyo tu wanasemaga huo ukanda ni team Magufuli na hawajawahi kumkubali huyu Mama achilia mbali kukubali kutawaliwa na wanawake! Maana wao wanaamini siku zote mwanamke yuko chini tu na hatakiwi kuongoza popote pale!
Of course Kanda ya Ziwa inaongoza Kwa Mfumo dume, na kusema kweli Mama pamoja na Chama Kwa ujumla kitahitaji nguvu kubwa kuweza kukubalika tena Kwa maana JPM ameishi sana mioyoni mwao na it's like hawakutegemea safari ya shujaa wao ingehitimishwa mapema vile.
 
Back
Top Bottom