Asante na kwako piaMuwe na Usiku mwema wapendwa!!!![]()
mmmh.ulale unonoMuwe na Usiku mwema wapendwa!!!![]()
Hapa
Muwe na Usiku mwema wapendwa!!!![]()
Bwana Yesu asifiwe mama mchungajiMapema hivi?
Bwana Yesu asifiwe mama mchungaji


Unatuachaje bestMuwe na Usiku mwema wapendwa!!!![]()
Wapendwa,
VALENTINE DAY siyo kunywa na kula kwa kupitiliza. HAPANA. VALENTINE DAY iwe ni pamoja na kila mwenza kujifanyia tathmini binafsi; ILI kupata majibu ya maswali mawili:
1. Je: kuna kitu au jambo gani nikilifanya LINAMUUDHI mpenzi wangu ?? Ukipata jibu lake, likusaidie kumwomba msamaha na kuliacha kabisa. Lakini jiulize pia;.
2. Je: kitu au jambo gani nikilifanya LINAMFURAHISHA mwenzi wangu?? Jibu lake likusaidie kudumisha na kuboreshwa jambo hilo. KAMA HUNA UHAKIKA, MUULIZE AKUAMBIE.![]()
Simpost umesahau tulimuona kwenye kasredi flani anawachekea wadada?