Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,244
- 90,420
yoyote mjomba,utakua umenisaidiambuga gani nikupe code
yoyote mjomba,utakua umenisaidiambuga gani nikupe code
vipi pastaaa mamaaa 😎😎 ulikuwa nakutani.. mda ule nilikuwa na pesa ya offer kabisa kulipia hotel yoyote ambayo ungechagua ukaenda relax sijui mngeenda 😂😂Daaah Mtumishi![]()
na tusio soma kbs je?Huenda nimesoma katika mazingira magumu kuliko wotee 😭😭.. sitaki hata kukumbukaView attachment 2119679
kama yoyote sogea hata hapo Sinza.. hiyo barabara ya meeda kuanzia kitambaa cheupe hadi lachaz mbuga zimechafuka 😀😀😀 at your own riskyoyote mjomba,utakua umenisaidia
Kila mtu ana magumu yake inawezekana hata wewe ungetolewa kwenye hali ngumu ukapelekwa huko bado ungekutana na magumu. Mfano mimi hapa nyumbani kwangu nimezoea kulala na joto leo nimekuta ugenini wamewasha feni usingizi haujiMwisho wa siku, kila mtu alipitia ugumu wake na kwa kadri Mungu alivyo mdesign.. kuna mwingine alikuwa anasoma pale IST nae atakuwa alikuwa anapitia magumu![]()


baridi. Wanasema shida hazizoeleki ila mimi naona nimezizoeaumande ulikuwa unakwaza sanaaa.. 😀😀😀 hatuna tofauti si unaona wote tupo hapa tunagombania gori tuna tusio soma kbs je?
shukrani kwa info.acha nisogee hapo,meeda kulia kn kipub cha love kipo?kama yoyote sogea hata hapo Sinza.. hiyo barabara ya meeda kuanzia kitambaa cheupe hadi lachaz mbuga zimechafuka 😀😀😀 at your own risk
😀😀😀 ndio maana maisha ni na shukrani ni kama maji na samaki...Kila mtu ana magumu yake inawezekana hata wewe ungetolewa kwenye hali ngumu ukapelekwa huko bado ungekutana na magumu. Mfano mimi hapa nyumbani kwangu nimezoea kulala na joto leo nimekuta ugenini wamewasha feni usingizi haujibaridi. Wanasema shida hazizoeleki ila mimi naona nimezizoea
vipi pastaaa mamaaaulikuwa nakutani.. mda ule nilikuwa na pesa ya offer kabisa kulipia hotel yoyote ambayo ungechagua ukaenda relax sijui mngeenda
![]()
😀😀😀 kipo kamada kumbe na wewe unakijuashukrani kwa info.acha nisogee hapo,meeda kulia kn kipub cha love kipo?
😊😊😊😊😊Ushanizingua; niwacheeeee
hahahahaha.chimbo langu lile kitambo sana😀😀😀 kipo kamada kumbe na wewe unakijua
Piga utupihapa tuone kama anayosema ni kweliKwa hiyo hata mimi nikipiga na camera yako nitatokea hivyo? Wacha mambo yako bwana
Mwili hauna shukranindio maana maisha ni na shukrani ni kama maji na samaki...


😀😀😀 unapenda joto kama mie.. napenda joto aseee.. hasa wakati wa kulala sitaki kabisa mambo ya baridi.. kama nikiwa AC au Fan ujue nataka kujifunika hadi kichwani 😀Kila mtu ana magumu yake inawezekana hata wewe ungetolewa kwenye hali ngumu ukapelekwa huko bado ungekutana na magumu. Mfano mimi hapa nyumbani kwangu nimezoea kulala na joto leo nimekuta ugenini wamewasha feni usingizi haujibaridi. Wanasema shida hazizoeleki ila mimi naona nimezizoea
Mwambie aniletee cameraPiga utupihapa tuone kama anayosema ni kweli
Sio napendaunapenda joto kama mie.. napenda joto aseee.. hasa wakati wa kulala sitaki kabisa mambo ya baridi.. kama nikiwa AC au Fan ujue nataka kujifunika hadi kichwani
![]()

kwenye joto pia huwa nateseka😊😊😊😊.. basi unajuahahahahaha.chimbo langu lile kitambo sana
Pole sana.. mkuu.. uwe unalala chini.. joto hupunguaSio napendakwenye joto pia huwa nateseka
tunashukuru munguumande ulikuwa unakwaza sanaaa.. 😀😀😀 hatuna tofauti si unaona wote tupo hapa tunagombania gori tu