Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dokta nahitaji kukata mafuta mwilini nitumie kitu gani aseeh!!
Kuna hizi dawa;toff plus,Piriton,Cetrizine na Predinisoline mojawapo inaweza kukusaidia

Ila epuka sn matumizi ya dawa Kwa ugonjwa wa mafua maana ni ugonjwa ambao unaweza kupona bila dawa,fanya mazoezi ya kukimbia ili kupandisha immunity,tengeneza chai ya tangawizi nyingi,Kula matunda yenye vitamin c mara Kwa mara km ndimu na machungwa,waweza tafuna vitunguu saumu Ila vinakera mdomoni

La mwisho ;km utashindwa kufanya yote hayo,basi SEX ni Dawa tosha Kwa tiba ya mafua hasa km hupendi kufanya mazoezi..piga show ya maana usiwe mvivu(wahuni wanaita gogo,au show za kichaga),piga show mpaka timu pinzani iombe poo kipindi cha Kwanza tu, utakuja kunishukuru baada ya siku mbili tu
 
Kuna hizi dawa;toff plus,Piriton,Cetrizine na Predinisoline mojawapo inaweza kukusaidia

Ila epuka sn matumizi ya dawa Kwa ugonjwa wa mafua maana ni ugonjwa ambao unaweza kupona bila dawa,fanya mazoezi ya kukimbia ili kupandisha immunity,tengeneza chai ya tangawizi nyingi,Kula matunda yenye vitamin c mara Kwa mara km ndimu na machungwa,waweza tafuna vitunguu saumu Ila vinakera mdomoni

La mwisho ;km utashindwa kufanya yote hayo,basi SEX ni Dawa tosha Kwa tiba ya mafua hasa km hupendi kufanya mazoezi..piga show ya maana usiwe mvivu(wahuni wanaita gogo,au show za kichaga),piga show mpaka timu pinzani iombe poo kipindi cha Kwanza tu, utakuja kunishukuru baada ya siku mbili tu


Kumbe ni kweli

Niliwahi pewa ...

Nilimuongopea lakini

Alinishukuru baadae
 
Kumetulia ngoja nitupie
Screenshot_20220212-041307.jpg
 
Kuna hizi dawa;toff plus,Piriton,Cetrizine na Predinisoline mojawapo inaweza kukusaidia

Ila epuka sn matumizi ya dawa Kwa ugonjwa wa mafua maana ni ugonjwa ambao unaweza kupona bila dawa,fanya mazoezi ya kukimbia ili kupandisha immunity,tengeneza chai ya tangawizi nyingi,Kula matunda yenye vitamin c mara Kwa mara km ndimu na machungwa,waweza tafuna vitunguu saumu Ila vinakera mdomoni

La mwisho ;km utashindwa kufanya yote hayo,basi SEX ni Dawa tosha Kwa tiba ya mafua hasa km hupendi kufanya mazoezi..piga show ya maana usiwe mvivu(wahuni wanaita gogo,au show za kichaga),piga show mpaka timu pinzani iombe poo kipindi cha Kwanza tu, utakuja kunishukuru baada ya siku mbili tu
Dokta ulisoma Vibaya nilichoandika soma tena.. kukata mafuta mwilini sio mafua..
 
Back
Top Bottom