donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,130
Sehemu ya fedha zilizokamatwa na Jeshi la Polisi Mkoani Iringa kutoka kwa watuhumiwa wa wizi wa zaidi ya BILIONI 2 walioufanya kwa 'kuingilia' mfumo wa Kampuni ya Selcom Paytech! View attachment 2115933



