Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,274
Dokta nahitaji kukata mafuta mwilini nitumie kitu gani aseeh!!Alafu nimechapia,sijui niliandika nn
Dokta nahitaji kukata mafuta mwilini nitumie kitu gani aseeh!!Alafu nimechapia,sijui niliandika nn
Uhuru Kenyatta na Musalia Mudavadi unaona wanafanana?Hao watu wa pwani Mombasa wa-exclude,hao ni km wabongo tu
Yeah I know wewe ni msukuma kitambo sn,nilikuwa naona ulivyokua unapigwa punches ukiongea Jambo lolote jema la magufuli enzi zile..Walikuwa wanakuita sukuma gang
njoo tulipunguze hilo wezereWapendwa nahitaji kukata haya mafuta maeneo ya tumbo nifanyeje!??View attachment 2116236 bro Mshana Jr msaada..
Tatizo hayo mafuta mafuta hapo kwenye kiuno kwa juuuu ndo naongeleanjoo tulipunguze hilo wezere
Wapendwa nahitaji kukata haya mafuta maeneo ya tumbo nifanyeje!??View attachment 2116236 bro Mshana Jr msaada..
Ndio naongelea hayo hapo mapingiri yaliyojkatakata hapo pembeni ya mgongoMbona taqo tena na mgongo
oooh...oky kuna mazoezi flan ya kukata tumbo na kubadilisha style ya diet then unapata pafectly lile umbo lenyenyewe la kibantu.l hope l will be ur trainer.Tatizo hayo mafuta mafuta hapo kwenye kiuno kwa juuuu ndo naongelea
ShemejiWapendwa nahitaji kukata haya mafuta maeneo ya tumbo nifanyeje!??View attachment 2116236 bro Mshana Jr msaada..
Tuanzie Hapo kwenye diet ndio nileje / nile nini sasa??oooh...oky kuna mazoezi flan ya kukata tumbo na kubadilisha style ya diet then unapata pafectly lile umbo lenyenyewe la kibantu.l hope l will be ur trainer.
Nambie shem.....Shemeji
Usile anything chenye carbohydrates,, cheza na protein, vitamins Russian twist zinaondoa mafuta area nzima ya tumboNambie shem.....
Ahaaaaaaaaaa... Asante sana Shem lakeeeUsile anything chenye carbohydrates,, cheza na protein, vitamins Russian twist zinaondoa mafuta area nzima ya tumbo



Hataaaa unavutia wapya ex habari yake imeisha hivyoili ex akikukona apagawe eehh!maana unazidi kunoga tu kaahh
Kama hiiAhaaaaaaaaaa... Asante sana Shem lakeee![]()
Number hyo sasaAhaaaaaaaaaa... Asante sana Shem lakeee![]()

Doh nilivo mzembe sasa! Ngoja tu nijitahidi
Wait ntasababisha soonNumber hyo sasa![]()
Nooo ukijitahd hizo na situps,,, nakupa 2 monthsDoh nilivo mzembe sasa! Ngoja tu nijitahidi
Aisee! Unakata ili iweje!Wapendwa nahitaji kukata haya mafuta maeneo ya tumbo nifanyeje!??View attachment 2116236 bro Mshana Jr msaada..
Santo sana lemme do it ntakupa feedback!Nooo ukijitahd hizo na situps,,, nakupa 2 months