Amen![]()
Wanazingua sana hawa wakiwa vichanga.
😀😀😀😀 wanakuwaga kama na kisilani flani.. wengine kila mnapo taka kulala ndio anakiamshaWanazingua sana hawa wakiwa vichanga.
Uncle mshana.Thanks rafiki kwa upendo ila huko ni mbali kidogo Lakini tutaona uwezekano![]()
WhiskyUncle mshana.
Hebu nipe list ya pombe ambazo hazina harufu [Gins/Wine/whisky].
Yaani nikipiga kyupa changu hata nikiongea na mtu hafeel ile harufu ya pombe.

Ipi chief?Whisky![]()
Nakusalimu kwa jina la shemeji yakoKaone

Expert katika anga zako.Whisky![]()
Jack daniels or hennessyIpi chief?
Shukrani chief.Jack daniels or hennessy

mbavu zangu mie lol.


alafu anajikubali mpaka basKumbe umeolewa? Hongera sana!yanawezekana kabisa kikubwa olewa na rafiki yako, Ndoa utaifurahia