Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20220204-214204.jpg
 
Habari wapendwa

Shimba Ya Buyenze Mshana Jr mtu chake mahondaw Foxhound Karma Saint Anne Hornet Heaven Sent Gregory 2000 moudgulf T 1990 ELY billdrago Lizzy Khantwe rukia16 Mjep cocastic Depal na wadau wote wa selfika.


Napenda kuwakaribisha katika mkesha/shughuli ya arobain/hitima Ya mpendwa/marehemu baba yangu,,,,,,,itakayofanyika kesho tarehe 5/2/2022 kuanzia saa 1 asubuhi mpaka saa 8 mchana.karibuni sana

Location;mbinga
Mungu azidi kuwatia nguvu dear usiwaze tupo pamoja! Shukrani
🙏
 
Habari wapendwa

Shimba Ya Buyenze Mshana Jr mtu chake mahondaw Foxhound Karma Saint Anne Hornet Heaven Sent Gregory 2000 moudgulf T 1990 ELY billdrago Lizzy Khantwe rukia16 Mjep cocastic Depal na wadau wote wa selfika.


Napenda kuwakaribisha katika mkesha/shughuli ya arobain/hitima Ya mpendwa/marehemu baba yangu,,,,,,,itakayofanyika kesho tarehe 5/2/2022 kuanzia saa 1 asubuhi mpaka saa 8 mchana.karibuni sana

Location;mbinga
Mwenyezi Mungu azidi kuwa pamoja nanyi,, i am humbled,, thank you
 
Habari wapendwa

Shimba Ya Buyenze Mshana Jr mtu chake mahondaw Foxhound Karma Saint Anne Hornet Heaven Sent Gregory 2000 moudgulf T 1990 ELY billdrago Lizzy Khantwe rukia16 Mjep cocastic Depal na wadau wote wa selfika.


Napenda kuwakaribisha katika mkesha/shughuli ya arobain/hitima Ya mpendwa/marehemu baba yangu,,,,,,,itakayofanyika kesho tarehe 5/2/2022 kuanzia saa 1 asubuhi mpaka saa 8 mchana.karibuni sana

Location;mbinga
Tunamuombea Rehema kwa Mungu ajaliwe nuru ya milele apumzike kwa amini.
Inauma sana lakini ukweli ni kwamba duniani hapa tunapita na marejeo ni kwa Mola, kwake hakuna kosa .

Poleni mno ndugu yangu.
 
Habari wapendwa

Shimba Ya Buyenze Mshana Jr mtu chake mahondaw Foxhound Karma Saint Anne Hornet Heaven Sent Gregory 2000 moudgulf T 1990 ELY billdrago Lizzy Khantwe rukia16 Mjep cocastic Depal na wadau wote wa selfika.


Napenda kuwakaribisha katika mkesha/shughuli ya arobain/hitima Ya mpendwa/marehemu baba yangu,,,,,,,itakayofanyika kesho tarehe 5/2/2022 kuanzia saa 1 asubuhi mpaka saa 8 mchana.karibuni sana

Location;mbinga
Asante Sana mungu aendelee kuwapa faraja nyote wanafamilia
 
cocastic nilikukumbuka jioni hii baada ya kumuona kisura wa Mbeya
Mwambie nahitaji kile kiuno chake aniazime kwa muda
kipendhiiiih nimecheka had kupaliwa ujue hapa.
Sasa umeshindwa nn kumuomba huko ulipomuona nawee?

Alinichamba tiktok kule, kisa nli comment, sasa hakupenda wee kwann asinijie inbox wacha anitukane mie, matusi mazito mazito , sema na mie siku hiyo mashetan yangu yalikua buzzy, nkaacha tyuuh ipite. Maana ningemuwashia moto had angekumbka sku yake ya kwanza kutatuliwa marinda, msieeew zake.

Yule mnyakyusa hapana kwa kweli. lol.
 
Back
Top Bottom