Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Hahahah nitakwambia wozap
Kwa nini eti jamani!
Hahahah nitakwambia wozap
Kwa nini eti jamani!
Watoto wa Sikh hizi adabu hamna kabisa , mtapata laana bureesawa bibi usipate tabu ..me najua bado uko mwake..fungua mlango apo niwe babu.!
Hahahah nitakwambia wozap






Acha uhuni we mzee.Huna jicho la NNE
![]()
Jicho la nne ono la njia ya kuzimu
Binadamu ana macho mawili ya kawaida.... Yanayoona vitu vya kawaida kabisa visivyohitaji darubini ama hadubini kuona... Ndio macho tunayotumia kila siku kwenye maisha yetu kuona tunavyotaka kuviona na tusivyotaka kuviona pia.... Ni kupitia macho haya ndio tunaweza, kuangalia, kutazama na...www.jamiiforums.com
Hahahaaaa na siwezi kukujua
Kausha
Acha kuniwekea vikwazo bana babemama wee nipe iyo chance uoneWatoto wa Sikh hizi adabu hamna kabisa , mtapata laana buree


Daaah uzi umetembea balaa
Mbona tayariHuu uzi kuna mtu ataliwa kimasiharaaa...!!![]()