Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,346
- 17,669
We mganga ndiyo umeona uchi, mimi ninachoona ni bikini na nanasi.Uchi ukiwa uchi namna hii haunogi
We mganga ndiyo umeona uchi, mimi ninachoona ni bikini na nanasi.Uchi ukiwa uchi namna hii haunogi
Naona utakuwa umefungasha hatar..Hahahahahaa
Situmiagi man ..ila uku tunaitaga geji ..au mavi ya ng'ombe!
Haha...mitaa gani hiyo? Maana mm kila kijana nae muona meno ya mbele siyaelewiSitumiagi man ..ila uku tunaitaga geji ..au mavi ya ng'ombe!
Sio lazima iniguse mimi moja kwa moja,lakini wapo wengi wanaotumia hizi gari wanaojisikia vibaya kwa kauli za kuanzia ile ya mkuu wa mkoa. NimewawakirishaNaona umeandika kwa hisia sana, pole sana kama imekugusa!
Huu mda ulitakiwa uwe pm kwake kujaribu Bahati,shauri yakooKweli???

Kwako ndo panafaa zaidi ..em fungua PM apo MtotoMzuri..Huu mda ulitakiwa uwe pm kwake kujaribu Bahati,shauri yakoo![]()
Sasa iyo Si ndio sign mkuu. Meno ya njano hii ndio culture etu man ..tena tunajivunia sana ani ..ukiniona tu unajua huyu ni chali ya ngaree au sololoo au kule mbwa chiniHaha...mitaa gani hiyo? Maana mm kila kijana nae muona meno ya mbele siyaelewi





Ni rekwee man...Mafekecheeee
Umenibadilishia gia angani siyo? We si ulikua unamtaka yule mrembo weweKwako ndo panafaa zaidi ..em fungua PM apo MtotoMzuri..

Haha amna mama yule ..nilitaka kujua jinsia yake tu maana kuna madai ni Me, lakini anatumia ID ya kikeUmenibadilishia gia angani siyo? We si ulikua unamtaka yule mrembo wewe![]()


Huna jicho la NNEWe mganga ndiyo umeona uchi, mimi ninachoona ni bikini na nanasi.
Mimi mwenyewe naelekea kuwa Bibi sasa ,50's yrsHaha amna mama yule ..nilitaka kujua jinsia yake tu maana kuna madai ni Me, lakini anatumia ID ya kike![]()
Nimewawakirisha ✘Sio lazima iniguse mimi moja kwa moja,lakini wapo wengi wanaotumia hizi gari wanaojisikia vibaya kwa kauli za kuanzia ile ya mkuu wa mkoa. Nimewawakirisha

Huu mda ulitakiwa uwe pm kwake kujaribu Bahati,shauri yakoo![]()


Nami nakuja kwako, please nipokee





Nimekuelewa
Wewe ni muungwana sana. Ni wachache wa aina yako ktk Tz hii. Hongera kwa kujitambuaNimewawakirisha ✘
Nimewawakilisha
Naomba radhi kwa wenye vitz/iST kwa vile mi similiki hata baiskeli.
Ujumbe wangu: vitz/iST nayo ni magari kama magari mengine yapewe heshima
Vidole ni halisi hata vinavyotumika hapo ni halisiIla hivyo vidole ni halisi