SawaaaaIla hvyo ni top3 ya vitu muhimu sana maishani
Inapendeza sanaaaNyakati za baridi... Na mvua kama hii

Sidhani kama anajuaHivi unajua unapata dhambi
Tabia mbaya hukoo, muone 😂😂Mniacheeee
Halafu wewe na dada ako mnajua kunitamanisha

Mbona kitambi hakipo tena
Tabia mbaya hukoo, muone![]()
Halafu wewe na dada ako mnajua kunitamanisha![]()



Poleni jamaniiiKumekucha sasa
No way ni wewe
Hivi na wewe unapenda hela?!lete hela
Kakihamishia kifuani katika process ya kujimwambafai...






Halafu meona kama kanona kifua, au macho yangu
Si ndio nyama za kitambi hizo zimehamia hapo...
Ni kama vile ukibana puto upande mmoja, linavimba upande mwingine...








Hapana usije mwituuNami nakuja kwako, please nipokee
![]()