Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,555
Dah mie Siipendi hua naihusisha na uvutaji bangi..Forgive me.Sasa iyo Si ndio sign mkuu. Meno ya njano hii ndio culture etu man ..tena tunajivunia sana ani ..ukiniona tu unajua huyu ni chali ya ngaree au sololoo au kule mbwa chini
Karib Arusha mkuu ule maisha ..Siku hizi maji yamekaa furesh usiogope meno ya njano ..kama ni mademu wako wengi sana![]()
Ila kuna dogo kazaliwa kaanza kuota meno naona yanaanza kua Njano





