Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Nimefuraaahi😂😂😂😂😂😂
chitchat rafikiWee Mimi sio wa mtu chake asee
Eeh jana nililala mapema sana, kumbe huku nkamu akaamua kutuheshimisha wanyaki![]()


Naisubiri pm🤗Mnanichekesha nyie watu![]()
Nkamu nimeghairi hadi kuoga nisije nikapitwa; na ninatakiwa kanisani kwenye ibada ya ndoa. Fanya tu kajambo nikajimwagie fasta jamaniNkamu usinifanyie hivyo![]()
hahahahahaUmeona huko juu alivoniwashia moto, imebidi nisingizie nakuja kwako kulimalima nyasi za msimu wa mvua.
Uongo ni dhambi. Heaven Sent Njoohatupost zetu za watu zile ohoo![]()
Naisubiri pm![]()


Kabla hatujaenda mbali,niikute kwanza pm mweee🤗usinifanyie hivyo
halafu sijakuona muda jiselfie basi
Kweli picha imekua muhmu kuliko ufalme.@Simara lete pichaNgoja atume kwanza picha; atatubu baadaye![]()
Sasa na hiyo atakayopost si siyo ya kwake; so ngoja apost afu ndiyo atubu sasaKweli picha imekua muhmu kuliko ufalme.@Simara lete picha
Huko PM uone peke yako?Kabla hatujaenda mbali,niikute kwanza pm mweee
Zangu nitapanda tu juu na kukutag



NITAKUKOMESHAKila mtu atapambana na hali yake![]()