Nyumbani kulala, okay
Wala usiwe na shaka. Hata kwenye uzi wa ricky boy huwa siandiki kitu![]()






jinga kweli wewee!!!Mungu anakuona nkamu tuhurumie na wengine jamani![]()



Wa kukaaja jana nimeona mambo yako, niNkamu tatizo mnalala sana![]()


sijui nilichelewaga wapi mimi.Nkamu tunakuomba wanyaki wenzio; tufanyie wepesi mweeh. Nyie kupitwa kunaumaNkamu tatizo mnalala sana![]()



Nkamu mi nilkuwa lindo nimekesha usitufanyie hivyoNkamu tatizo mnalala sana![]()



Nkamu mi nilkuwa lindo nimekesha usitufanyie hivyo![]()
Kwa kweli bora umuambie na wewe dada labda atakubaliNkamu tunakuomba wanyaki wenzio; tufanyie wepesi mweeh. Nyie kupitwa kunauma![]()


Yaani tumeinamisha na vichwa chiniKwa kweli, tumepiga na magoti hapa tunavyotype![]()


Kwa kweli bora umuambie na wewe dada labda atakubali![]()
Mama Pasta nafurahi kukuonaNkamu tunakuomba wanyaki wenzio; tufanyie wepesi mweeh. Nyie kupitwa kunauma![]()
Mama Pasta nafurahi kukuona
Km nnavyopitwa na zakooNkamu tunakuomba wanyaki wenzio; tufanyie wepesi mweeh. Nyie kupitwa kunauma![]()
NakaziaaaMimi bado nimepiga magoti huku
Amina, nabarikiwa sana.Nimefurahi pia kukuona kijana wangu
Tanzania bora inaanza na familia bora, MUNGU awajalie vijana wote wenye wito wa ndoa wapate wenza sahihi na wafurahie maisha yao na kujenga kizazi bora cha Tanzania bora ya baadae. 2022 mwaka wa baraka kwako,njia ipoo ishi vyema.