Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Mama sipitwi katika ubora wako.Nkamu nimeghairi hadi kuoga nisije nikapitwa; na ninatakiwa kanisani kwenye ibada ya ndoa. Fanya tu kajambo nikajimwagie fasta jamani
Wewe ulivyo mchoyo zako sasa





