Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
🙏🏿Okay, asanteeh
🙏🏿Okay, asanteeh
hahahahaha.unanitupa ghafla hvHahahaaa..wewe teinaaa!! Hujani alert tu mbona naahirisha kabisa kwenda na mtu chake weee kwaile selfie uuwiii !!!
Wait!![emoji16][emoji3][emoji3]tena nitag kabisaa km ntakua mmesahau maana mida hyo Leo ntakua machoo Mungu akipendaSaa nane usiku!!! Nasubiri
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]janaà!???kwani nliwaambia ntarusha? Leo ahadi ni deni!tKashaija72 Mkuu utakesha bure.
reymage usiku anakaushia watu huyoo[emoji3][emoji3]... muulize alichotufanyia jana.
hahahaha yaani live,unani.,.dahNi vizuri akijua tu Ili ajue nimeahirisha na nimeenda kwingine intentionally kabisa . Saivi bado Nina usingizi !
kijana nakusoma tuSi namuibia ndege wake hapo.
We si umeona namuita aje aseme ameona nini kwenye ulichombariki amegoma kuja. Maana ameona pekeakee..
natazama hatua zakoInabidi uahirishe na kulala ili twende sasahivi, akija kushtuka jua limezama
mtu chake nakusalimu mkuu
We huna maana wewee...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]janaà!???kwani nliwaambia ntarusha? Leo ahadi ni deni!t
Mkuu mimi ni moja wa wale wachache usiopaswa kuwatilia shaka. Nilikua nakuchangamshia ndege wako asiwe mpweke.natazama hatua zako
[emoji5][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]loohh!nimecheka Sana'a aseeh!Karibu sana asehh!mi nipo teleee!!!sura ya baba...miguu ya shangazi macho ya bibi!shepu ya mjombaa[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]utazimiaaa!!!!We huna maana wewee...
Na kwa taarifa yako nimekuja mkoa ulipo, ntakutafuta physically mpaka nikuonee..
Mimi napenda kuzimia, naomba mvua ikikatika nije nizimie hapo kwako.[emoji5][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]loohh!nimecheka Sana'a aseeh!Karibu sana asehh!mi nipo teleee!!!sura ya baba...miguu ya shangazi macho ya bibi!shepu ya mjombaa[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]utazimiaaa!!!!
hahahahaha.mie natazama hatua zako kwa umakiniMkuu mimi ni moja wa wale wachache usiopaswa kuwatilia shaka. Nilikua nakuchangamshia ndege wako asiwe mpweke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]karibu Sana'a!nipeleke msalato kula nyamaaaMimi napenda kuzimia, naomba mvua ikikatika nije nizimie hapo kwako.
Mimi ni kijakazi wako mkuu, jisikie huru kunituma chochote kwa ndege wako, i mean chochote, nikafanye kwa niaba yako.hahahahaha.mie natazama hatua zako kwa umakini
Ondoa shaka, baada ya hapo utataka kwenda wapi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]karibu Sana'a!nipeleke msalato kula nyamaaa
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]nyumbani kulalaa!!!Ondoa shaka, baada ya hapo utataka kwenda wapi?
Nyumbani kulala, okay[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]nyumbani kulalaa!!!
Ila usije nianzishia thread kua umekutana na mzee mwenye sura ya wife material!
we koma,ufanye kwa niaba yangu nini?Mimi ni kijakazi wako mkuu, jisikie huru kunituma chochote kwa ndege wako, i mean chochote, nikafanye kwa niaba yako.
Mkuu msimu wa mvua huu, usafi wa kulima nyasi. Au kuna jingine unataka kunituma.we koma,ufanye kwa niaba yangu nini?
hahahahahaMkuu msimu wa mvua huu, usafi wa kulima nyasi. Au kuna jingine unataka kunituma.