Brian Spilner
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 2,123
- 6,207
Yaani hauna mfano, hakuna mithili yake.Haumithiliki hapo sijaelewa Mkuu ,
[emoji3][emoji3] kile kiswahili cha ndani kabisa
Yaani hauna mfano, hakuna mithili yake.Haumithiliki hapo sijaelewa Mkuu ,
Ooh kumbe, Asante kwa jibuYaani hauna mfano, hakuna mithili yake.
[emoji3][emoji3] kile kiswahili cha ndani kabisa
Wenye majina mazuri kama lako urembo wao huendana na names..Ooh kumbe, Asante kwa jibu
Hapana sipo hivyo kwa kweli .
Majina haya unajitungia tu sidhani kama yanahusiana na urembo ....Wenye majina mazuri kama lako urembo wao huendana na names..
Ni zuri, vyovyote litakavyotumika nitalipenda.Majina haya unajitungia tu sidhani kama yanahusiana na urembo ....
Tinsley hili limekaa kiume hivi hata hivyo ni unisex name .
Nakuahidi Leo SAA nane usiku ntakurushia live bila chenga[emoji2]Kwani nawewe ni mwembamba, Hebu weka kapicha tuone
Kha hapo kwa ucute tena sikuwezi ...Ni zuri, vyovyote litakavyotumika nitalipenda.
Hili la urembo mkuu kwanini tusilithibitishe kwa kuchat kwa picha..[emoji12][emoji12]
Kama muktadha wa uzi. Me naamini uko mcute sana
Sikufanikiwa kuona mkuu, nadhani si mbaya tukaweka tena, I too will do the same.Kha hapo kwa ucute tena sikuwezi ...
Nimeweka picha kadhaa humu bila shaka umeniona .
Haya anza wewe Boss .Sikufanikiwa kuona mkuu, nadhani si mbaya tukaweka tena, I too will do the same.
Saa nane usiku!!! NasubiriNakuahidi Leo SAA nane usiku ntakurushia live bila chenga[emoji2]
Ni mwembamba km mti
[emoji3][emoji3] mkuu jana tu umeiona yangu na sijaifuta mpaka sasa, kwanini leo nisifate baada yako.Haya anza wewe Boss .
Leo siku nyingine jamani 😂[emoji3][emoji3] mkuu jana tu umeiona yangu na sijaifuta mpaka sasa, kwanini leo nisifate baada yako.
Ewaa sasa si ndo tunapokezana kufungua dimba mkuuLeo siku nyingine jamani [emoji23]
Nikiweka nitakutag rafiki .Ewaa sasa si ndo tunapokezana kufungua dimba mkuu
[emoji3][emoji3] nilidhani ungeweka saiv, okay, I'll stay tuned.Nikiweka nitakutag rafiki .
Siku nyingine[emoji3][emoji3] nilidhani ungeweka saiv, okay, I'll stay tuned.
Ningesema upandishe ya kwenye gallery ila najua ntaitwa king'ang'anizi. Ngoja niishie hapa.Siku nyingine
Leo niko off mood na picha .
Hapana siwezi kukuiita hivyo .Ningesema upandishe ya kwenye gallery ila najua ntaitwa king'ang'anizi. Ngoja niishie hapa.
Okay, asanteehHapana siwezi kukuiita hivyo .