Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😀😀 naiomba na account ya bank naiongezea nyingine.. alafu naanza zero.. baada ya mda naishangaza tena inajileta naitia mimba mapacha, ikizaaa mimba tenaaa hiyo ndio inakuwa adhabu yake 😀😀😀😀 nakuwa natia tu mimbaaa.. nashukuru Mungu sijawai kuwa na woga wa kuanza sifuri maisha, sijawa na woga wa kuchekwa ku fail maisha, sijawai kuwa na woga wakupungukiwa nipo radhi kuisha maisha yoyote for a season
Wow
 
Mbona kama unaonekana ni hazibandi matirio..

Ngoja nikuangalie kwa jicho la rohoni 🥰🥰
Mie Bonge la husband materials sema hunitaki tuuu.. ila yote maisha acha nipambane na utoto wanguu.. acha niingie nianze soma vitabu kabla ya kulala.. karibu tusomeee basi.. huku umeniwekee guu hilo 🙄🙄🙄
Screenshot_20220126_225947.jpg
 
Back
Top Bottom