Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Haya, kwa leo inatosha mlale!
IMG_20220117_110257_193.jpg
 
yaan sec hizo zote ukose wa kuongea nae?
Wallah huwezi amin zaidi ya family yangu na hivi nipo mbaliwananikoma,,,

Asubuhi,,,,,,umeamkaje mama? Mwanao nipo salama

Mida ya saa 4,,,,,ushakunywa chai mama???

Mchana,,,,,za mida hii mama,umepika nini leo? Ushakula?

Jioni,,,umeshindaje?

Usiku,,,ushakula?? Umelala? au unatizama Tv? Mie nalala mama,nikutakie usiku mwema,,nimekumiss

Habari ya kumpigia mtu simu halafu baada ya salamu anakuuliza VIPI?
 
Back
Top Bottom