Mimi Niko poa Sana physically. Hongera Sana ingawa hukutoa taarifaHakika nilienjoy pia, hali ya hewa nzuri + kimvua mvua basi usingizi mwanana. Mimi mzima habari yako pia ndugu yangu?
Fanya tu hiyo ofa iniangukie na mimi kaka Anne. Tatizo, sijui na mimi shape itaendana na hako kagauni (lavender one ofu koziiiiii).Ingineee hiii..namtafutia nguo mdogo wangu jamanii
.. ofaa inaweza kukuangukia na wewe.. hapa tusimnyime mahondaw na Chakorii nao wachague mmoja mzigo unashuka soon
View attachment 2094473


Next time ntakujulisha mkuu, ahsanteMimi Niko poa Sana physically. Hongera Sana ingawa hukutoa taarifa
Nimependa hio nyeusi rafiki!Ingineee hiii.. 😊😊😊 namtafutia nguo mdogo wangu jamanii ☺️☺️☺️.. ofaa inaweza kukuangukia na wewe.. hapa tusimnyime mahondaw na Chakorii nao wachague mmoja mzigo unashuka soon
View attachment 2094473
😊😊😊😊 itaendanaaa tu jamaniiiFanya tu hiyo ofa iniangukie na mimi kaka Anne. Tatizo, sijui na mimi shape itaendana na hako kagauni (lavender one ofu koziiiiii).![]()
haya naweka order hapa 😊😊Nimependa hio nyeusi rafiki!
😃😃😃 unataka kuua watoto wa watuu eeeHio ya zambarau mpauko yelewiiiii!!🤩🤩🤩🤩 Nimeielewa mnoo!
Usisahau kwenye ufalme wa vigauni jamani!haya naweka order hapa![]()

weweeee una hatari.. kuwe na huruma
weweeee una hatari.. kuwe na huruma
itaendanaaa tu jamaniii

Jamani! Kwahiyo unanizuga sio!!
![]()
Bado mamy unajua mambo ya january..ndio nimepeleka juzi jumamosi!Hujafuata mishono mipya boss lady? Kuna ka style ka-casual kitenge nimekuandalia![]()
Bado mamy unajua mambo ya january..ndio nimepeleka juzi jumamosi!
Doh nitumie jamani nina kakitenge kengine kanazubaa zubaa hapa!