Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,242
- 90,420
hahaha,lala unono rafiki..Niko nasinzia sasa rafiki! Nikistuka ntaweka hadi fesiii
hahaha,lala unono rafiki..Niko nasinzia sasa rafiki! Nikistuka ntaweka hadi fesiii
Ungepata parachichi kidogo hapo pembeni dahhh!! Mchemsho poa sana huo!😋
Asante rafiki..Bonne nuite!hahaha,lala unono rafiki..
Hapana chezea ×Hebu angalia hii clip,,akiyanani
![]()
Satoh bana, si useme tu ni mwaka 1989, eti late 80s. Kumbe bado kadogo![]()






Ameeeeeeen!!Nakula neno kwanza hapa.. tupia na yako basiiiView attachment 2087676
Nilivyosoma comment yako nikajikuta nakumbuka hiyo clip😂😂😂😂😂😂🙌Hapana chezea ×
@cocastic wahii hukuu




daaaah we acha tyuuh, leo siku yangu imeenda full burudaaan.
Nilivyosoma comment yako nikajikuta nakumbuka hiyo clip
Nikakumbuka pia kipindi naupiga mwingi nilivyokuwa naforce vitu vibalance![]()
cocastic 9.8ms squared mmetingwa nanini???




jaman shos angu leo nilikua na tukio 1 kubwa sana, yaan wee acha tyuuh. UwiiiiiihAisee! Kwenye IST hutoshi


umenikumbusha kitu. Mtu anakaa kwenye gari unaona yupo juu
unajiuliza kwani kaweka mito mbona yupo juu juu ..kumbe zigo sio poa..dah!Mimi ni nani nianze kubisha! Kumbe hisia zangu zilidanganya.Brod darling; all these years niwe early au mid 30s kweli?