Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,735
- 76,360
Below 40 by few months! Sasa unanibishia mimi niliezaliwa na mama yangu!?Sema below 35...below 40 ndio nini



Below 40 by few months! Sasa unanibishia mimi niliezaliwa na mama yangu!?Sema below 35...below 40 ndio nini



Wifi yako walinikataza 😔😔 nisikutag hasa nanii alisema muache huyo kwanza 😟😟Kunitag mimi lastborn kuna uhusiano gani na usingle?![]()
Nikudanganye kwani nataka kukukopa!!kwendraa yaani hata mimi unanidanganya?



Below 40 by few months! Sasa unanibishia mimi niliezaliwa na mama yangu!?![]()


naona umeamua kukaza...sawaUwe una nihamukia mkuu 🤨🤨🤨Mimi ni below 40...
Mimi wa 81Mimi ni below 40...
Kawaida! Ila kumechangamka balaa kule sahv!naona umeamua kukaza...sawa
Ni nani huyo?Wifi yako walinikatazanisikutag hasa nanii alisema muache huyo kwanza
![]()

wawili mmoja wapo tuu 😒😒Ni nani huyo?![]()
AnanihujumuKimeumanaaa

Ni namba ya kiatu na miaka,,multipurpose yaani.40! Labda iwe namba ya kiatu unachovaa!!
![]()
Hiyo namba yenyewe ya kiatu cha ndotoni labda40! Labda iwe namba ya kiatu unachovaa!!
![]()
Anakuhujumu vipi, mshaambiwa jipimieni 😅 sasa we endeleza mambo ya kizamani tu!!!Ananihujumu![]()
Happiest birthday to you 🥳Leo ni siku yangu ya kuzaliwa..Happy birthday to me!!
Baadae nitatupia picha full..stay tune!!
Lakini anapima mno,Anakuhujumu vipi, mshaambiwa jipimieni 😅 sasa we endeleza mambo ya kizamani tu!!!
Mwamba 9.8ms squared anajipimia we uache makasiriko
Kuna siku ulifanya interview hum ni kama ulitaja huo mwaka au Mimi ndio nimesahau. Sasa hivi sijataitiwa wala nini niponipo tu kama taahiraNikudanganye kwani nataka kukukopa!!
Kuna day nilipita maeneo yako ya kujidai, nilitamani sana nikucall but nikahisi isijekuwa umetaitiwa!![]()