Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hivi Mr Paul yuko wapi siku hizi?
Hivi Mr Paul yuko wapi siku hizi?
Mimi huwa nafunga na kusali huyo shetani asije kunipitia..huo msala sitauweza😁Mara paap najichanganya kupost sura langu la kinyaki khaa
Huyo dada anahitaji kupigwa pigwa msasa wa darasa.
Yupo Australia anaishi huko na mke wake mzungu 😊😊Hivi Mr Paul yuko wapi siku hizi?
🤣🤣🤣🤣💃💃hebu urudie
Basi nitamtuma soon akuletee, ila risiti yangu nitunzie![]()
Huyo dada anahitaji kupigwa pigwa msasa wa darasa.
Siwezi pokea zawadi nimekaza kiuno namna hiyo...lazima nibend kidogo mtoto wa kike![]()

Hapo kwenye kuwafunga Yanga mnanifurahisha. Ili kufanikisha ushindi wenu Kwa Yanga naomba niwasapoti Kwa kujitolea Chakula Cha siku Moja Kwa Wachezaji na Benchi la ufundi.Na bado, tunawangoja Yanga tuwashone
😂😂😂😂!Hii imenipita. Halafu ina mpasuo dah!![]()
Ahsanteeee
Umewalisha wenzio matango pori ujue!!Mpasuo ule
Vidole fulani hivi
Amazing![]()
Karibu tena mkuuView attachment 2086796
Kyala Mnunu
Ndaga
Ughonile mala fyale
Nikija mara mbili, Tatu huku lazima nikamilishe uandishi wa Kamusi ya Kinyaki
CC
Heaven Sent
Karma
Saint Anne
Bujibuji Simba Nyanaume


mkuu sitaki kumwagiwa maji ya moto😍😍😍 acha nibebike mie...
🙄🙄🙄maji moto yatoka wapi tena jamaniiimkuu sitaki kumwagiwa maji ya moto