Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na bado, tunawangoja Yanga tuwashone
Hapo kwenye kuwafunga Yanga mnanifurahisha. Ili kufanikisha ushindi wenu Kwa Yanga naomba niwasapoti Kwa kujitolea Chakula Cha siku Moja Kwa Wachezaji na Benchi la ufundi.

Najua Msosi Kwa Wachezaji 25+Benchi la ufundi 12 =37
Chakula Kwa Mamantilie ni Buku Jero

37x1,500=55,500/-

Yanga vizuri naye afungwe kama Sisi ili kubalance equilibrium 💪
 
Back
Top Bottom