Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimerithi kabisa yaani.
Kagiza kakianza kuingia ukitaka kuja kwangu hamna haja ya kuniuliza kama nipo maana ni lazima niwepo na milango yote nimefunga.

Hivi viwanja sivijui hata vinafananaje yaani. Nikisema leo sipiki acha nikachome kuku au pizza nikifika namwambia funga kabisahapo naenda kulia nyumbani.

Basi wananisemaga ila ndio hivo sibadiliki yaani wameishia kuniita "mama mchungaji"

Bora wewe huwa unakwenda, mie naagiza bodaboda

Kuna mama huwa ananiambia akitaka kuja kwangu walaa hajihangaishi kupiga simu maana anajua tu atanikuta.
Ndio basi tena mdogo wangu tubakie tu kuwa watazamaji
 

Kama hujazoea huwezi tuu dear... Nakumbuka kuna siku mpaka nikawa nawasumbua tuondokee Shunie alinunaaa
Hahahahhahahahhahahhahahahahhahahaha.
Ndio nini kwenda kuaibisha huko?

Lazima ulikuwa unakunywa soda na wenzako pombe. Mtu akinywa pombe haoni kama muda unaenda yaani. Utasema bora kamaliza unashangaa tuu zingine tatu zimeshuka mezani kwa mkupuo.
Unaweza ukalia yaani.
 
Back
Top Bottom