Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Hadi ana kwa ana huwa nachoka kuongea yaani.Hamna matatizo
Maisha ni kuchagua vile wewe unavyotaka .
Kuna muda natamani tu nikae kimya pekeyangu.
Hadi ana kwa ana huwa nachoka kuongea yaani.Hamna matatizo
Maisha ni kuchagua vile wewe unavyotaka .
Sipati pichaDada ako wa tumbo moja atakuwa anaumwa muda huu![]()


Kipara anatoa ubatizo aisee wale sugu sugu wa stand wote wamempokea kristu
Jamaa noma sana.Kipara anatoa ubatizo aisee wale sugu sugu wa stand wote wamempokea kristu
WachaaAMEN. Mungu ameshakupa mnyaki mwingine![]()

Teh teh tehSipati picha
Ngoja nicheke kicheko chako kile
Teh teh..
Wacha😍
Aisee🤣🤣🤣🤣AMEN. Mungu ameshakupa mnyaki mwingine![]()
Hadi ana kwa ana huwa nachoka kuongea yaani.
Kuna muda natamani tu nikae kimya pekeyangu.

Aisee![]()
Likewise ..
Chaaaah!🤣😂😂😂😂😂😂Eeeh asije akahamishia sifa kabila lingine, so ampokee tu kwa imani![]()
Chaaaah!
Hufai wewe![]()
Kipara anatisha dah anapiga za kutosha utadhani anaua nyokaJamaa noma sana.
Halafu sasa utamsikia mwenyewe kwenye maoni yake akisema vijana wake wamecheza hovyo chini ya kiwangojamaa ana kufuru yule
Akiwakamata nyie mwanitesa mtaimba Halleluya na Bwana..kama sisi tuliwachakaza kama mbwa koko,sasa akiwashika jamaa atajipigia anavyotaka.
Hata sijijui😂Itakuwa wewe ni introvert kabisa ndo maana upo hivyo .
Aisee huyu fundi
na body linachangia # elegantWaifu matirio😍.Wee sio kwa sifa hizi za wanyaki leo. Wanavyojua kutuchamba, leo kimyaaa
EehKipara anatisha dah anapiga za kutosha utadhani anaua nyoka
Yule mama wa kule bukoba vijijini200,000 X 12 = 2,400,000/-
Ngoja nimuulize swahiba angu 9.8ms squared aseme kama Kuna nafuu au laa kwenye kulipa 2.4M![]()
