Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivi ni Saint Anne peke yake ndiye alibahatisha picha za Mama Mchungaji siku ile? Hata kama alificha sura shepu itakuwa ilionekana tu. Aliyezipata si angalau aweke dodoso kidogo ili tupate picha (japo hafifu tu) ya hii miksa ya Mnyamwezi na Mkaskazini?
Nahisi niliona

Kama miguu na hips hivi

Sikumbuki vizuri

......
 
Back
Top Bottom