Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
😂😂😂😂😂pombe za majaba zinaleta Sana confidence
Ukoo huo una mambo!
😂😂😂😂😂pombe za majaba zinaleta Sana confidence
Etii umesemaaWanyaki mbona zamanai hatari sana, wanajua kupenda na ni waaminifu.. unakuwa huna mashaka kabisa ya kupigiwaaa![]()

Uchaguzi wa uchifu ushavurugika baada ya mwenyekiti kusema ziletwe CV wakat Kuna watu Wana vyeti vya ubatizo na kipaimara tu aisee ngumi ziliruka
Ukoo huo una mambo!
🤣🤣🤣🤣Uchaguzi wa uchifu ushavurugika baada ya mwenyekiti kusema ziletwe CV wakat Kuna watu Wana vyeti vya ubatizo na kipaimara tu aisee ngumi ziliruka
It's totally okay to be that way ..Mimi naogopa sijui niseme sijazoea .
Hata simu yangu ishaacha kupigwa,,na mimi wala huwa sipigii watu .
Mjomba jina lilikatwa mapema akaanza kusuka kikosi Cha fitna na Mambo ya kuloga kampaign manager nilimkimbia mapema simu zake hua sipokei anatuma msg za vitisho kua nimehamia team 'CV'
Mjomba aligombea??
Ganike gapeHangamaga nzunone. Ūnamhale mpaga ūsache lino līmo gūtīlyangīlī
Halafu kobaga ganīkī gape galipu gidakwitale ūtole. Īmyaka yaselemaga nkoi.



😂😂😂😂Mjomba jina lilikatwa mapema akaanza kusuka kikosi Cha fitna na Mambo ya kuloga kampaign manager nilimkimbia mapema simu zake hua sipokei anatuma msg za vitisho kua nimehamia team 'CV'
Kapteni mlevi dah hua nachoka kabisaTimu la hovyo,kapteni mlevi...linadraw hadi na Aston Villa.
Mganga aliyewaroga ashikilie hapohapo![]()
Wengine sisi sijui tuna matatizo ya akili🤣🤣🤣🤣🤣It's totally okay to be that way ..
Huenda ni mazoea ndo maana hupendi .
hakuna faraja kubwa kama kusikia sauti za wapendwa wetu iwe daily au mara moja .
Hiyo kauli niichukua kwa Darmian mfia timu wa bongo🤣Kapteni mlevi dah hua nachoka kabisa
Nahisi nilionaHivi ni Saint Anne peke yake ndiye alibahatisha picha za Mama Mchungaji siku ile? Hata kama alificha sura shepu itakuwa ilionekana tu. Aliyezipata si angalau aweke dodoso kidogo ili tupate picha (japo hafifu tu) ya hii miksa ya Mnyamwezi na Mkaskazini?![]()
Hamna matatizoWengine sisi sijui tuna matatizo ya akili
Imagine mtu hapigi simu wala hapojei..na anajiona sawa tu!
Hahahaha dah na kiazi mwingine OllaChuga Oc leo kanyolewa anajibu kinyooongeHiyo kauli niichukua kwa Darmian mfia timu wa bongo![]()
Nitūmīlage bageshiNahisi niliona
Kama miguu na hips hivi
Sikumbuki vizuri
......

Yule timu lake leo ni takataka tu...Kipara amelitandika😂.Hahahaha dah na kiazi mwingine OllaChuga Oc leo kanyolewa anajibu kinyooonge


