Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hilo cheko la nini sasa? Na wewe huniamini kama dada ako?haya bwana weeee,



Hilo cheko la nini sasa? Na wewe huniamini kama dada ako?haya bwana weeee,



Haya ndiyo mambo sasa. Naamini hujaumia kama kwenye ada na kiwanjaMwambie nimeshamtumia mwamala, kwahiyo hudaiwi kikoba Mwezi wote huu wa Januari![]()



Mie nakuamini tu, kwanini nisiamini aseee 😀😀😀😀Hilo cheko la nini sasa? Na wewe huniamini kama dada ako?![]()
Mwili unazingua sana, unawasha washa... alikuwa mshauri wangu, muombaji wangu, muonaji wangu, msemaji wangu.. nilikuwa na raha.. unakuwa na mtu ambae kesho anakuambia kuna moja mbili tatu inatokea na inakuwa hivyo hivyo, akiniambia usitoke ujue kuna kitu kibaya, mtu ambae anajua mahala nilipo na maendeleo yangu na kama kuna shida mda huo hup napigiwa simu.. asee nimepoteza jembee sana. sema nakaza tu.. Tinsley Asante kwa moyo na faraja


Mie nakuamini tu, kwanini nisiamini aseee![]()
Sure, kuna watu huja kwenye maisha yetu for kusudi na wanapo ondoka pengo halizibiki hata uidanganye nafsi kwamba kuna mbadala wakePamoja sana rafiki ...
Huyo mdada alikuwa a rare gem , dah maisha haya .
Ooh yesSure, kuna watu huja kwenye maisha yetu for kusudi na wanapo ondoka pengo halizibiki hata uidanganye nafsi kwamba kuna mbadala wake
hahahahaHahahaha.....Sawa mkuu ngoja tusubirie
Mnyama(kwa sauti ya Karma)
Hivi hawakusoma nilivyotiririka?Nistiri tu Mtumishi. Afu ni perception zao tu. Mbona Anne angeshasema![]()
Dah pole sana🥲Nimtoe wapi aseee.. hakuna wa kuvaa viatu vyake.. alijenga misingi kwenye maisha yangu, hakuwa tayari nishindwe popote.. alikuwa akifunga akikesha akiomba kwa ajiri yangu.. Oooh.. God. I rembember siku anakufa walienda wana maombi kumuombea apone akagoma akasema anataka kuondoka na ameisha muomba Mungu na amekubaliwa.. within 5 min akaondokaaa.. Ooops.. till leo nilipoteza Queen.. sio hao wa sasa unaishi kwa mashaka mashaka![]()
Huwezi amini nikiliona tu SAULI, namkumbuka KarmaMnyama(kwa sauti ya Karma)
Anavyolipenda hadi tukaamua kumpandisha bimkubwa.Huwezi amini nikiliona tu SAULI, namkumbuka Karma
Hawakusoma?Ulitiririka nini?![]()
Nyau mwenye BamaSnap it.Show it
View attachment 2082336

200,000 X 12 = 2,400,000/-Haya ndiyo mambo sasa. Naamini hujaumia kama kwenye ada na kiwanja![]()
Hawakusoma?