Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Msalato Nyama Choma
20220115_164028.jpg
20220115_164056.jpg
20220115_164023.jpg
 
Kuna siku nipo nimelala mama wa watu sina habari; kuna mtu amenipigia na tunaheshimiana vibaya sana. Nataka kupokea, mweeeh kumbe video call; sijui ningeweka sura langu wapi jamani
kweli kabisa
Hapo ni kukata simu moja kwa moja.

Mimi siku moja nimefanya interview ya zoom aisee ilikuwa vituko uzuri ni kwamba yule baba aliniambia nizime camera ndo nikawa comfortable
 
Hapo nlikuwa najiona kama vle rambo,, mwendo wa kuua mijusi tu

I love this field


View attachment 2082349
Hahaaa daah umenikumbusha 'range'. Tulikuwa tunaambiwa kuruta mnalenga mijusi tu.

Nimemiss life la 'jakata'. Napenda sana kwata/gwaride na kwenye gradu ya jakata nilichagua hicho kitengo.
 

Attachments

  • Screenshot_20220115_205542.jpg
    Screenshot_20220115_205542.jpg
    82.1 KB · Views: 29
  • Screenshot_20220115_210125.jpg
    Screenshot_20220115_210125.jpg
    124.2 KB · Views: 31
Back
Top Bottom