Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Sijui aibu zinatokeaga wapi, mara unakuwa bubu ghafla
Kumbe tuko wengi![]()
Kumbe tuko wengi![]()




Daah haya mambo bhana ndiyo maana huwa tunaambiwa tufiche plate number za watu. Sema nimeona uvivu.
Si ndiyo kama mdogo wako Saint Anne. Ukikutana naye kalivyo kakimya utasema huku JF huwa anampa mtu simu yake amuandikie zile comments.Sijui aibu zinatokeaga wapi, mara unakuwa bubu ghafla
Hahaaa atanijua Mi naniOle wake mtu anizingue![]()
🤣🤣🤣🤣Si ndiyo kama mdogo wako Saint Anne. Ukikutana naye kalivyo kakimya utasema huku JF huwa anampa mtu simu yake amuandikie zile comments.
Yaani hakaendani kabisa na haya maneno kanayoandika huku. Yaani kanapooza ukipiga naye story unaweza jikuta unaongea peke yako ila huku sasa mwee.
Though hata mimi kuna watu wananisemaga kuwa sifananii na huu uchiriku nilionao huku jf. Kwa maana nikikutanaga na watu nakuwaga mkimyaaa labda nikuzoee.
DogooHahaaa daah umenikumbusha 'range'. Tulikuwa tunaambiwa kuruta mnalenga mijusi tu.
Nimemiss life la 'jakata'. Napenda sana kwata/gwaride na kwenye gradu ya jakata nilichagua hicho kitengo.View attachment 2082724View attachment 2082726
Si ndiyo kama mdogo wako Saint Anne. Ukikutana naye kalivyo kakimya utasema huku JF huwa anampa mtu simu yake amuandikie zile comments.
Yaani hakaendani kabisa na haya maneno kanayoandika huku. Yaani kanapooza ukipiga naye story unaweza jikuta unaongea peke yako ila huku sasa mwee.
Though hata mimi kuna watu wananisemaga kuwa sifananii na huu uchiriku nilionao huku jf. Kwa maana nikikutanaga na watu nakuwaga mkimyaaa labda nikuzoee.

Halafu ile siku nilijitahidi sana kuongea
Sasa hiyo siku; utaongea kweli?![]()







Anawapiga kamba huyoKumbe ule utata wa Anne ni wa kwenye maandishi tu?



😂😂😂😂😂😂💃🙃Leo umegoma kutuvalia?
Unaogopaga nini sasa?
Ngoja nianzie mazoezi kwanza ya kuongea na simu.
Wale wote mlionipigia kipindi kile mnisamehe bure..naogopa mno kuongea,,nikaishia kuwapiga kalenda tu kuwa nitapiga![]()
Anawapiga kamba huyo![]()
Sina tu ujasiri wa kupokea simu na kuongea.Unaogopaga nini sasa?
AnawadanganyaAaah wapi