Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,196
Ila wanawake wakule Wengi wao wanachapa kazi sana. Sio wazembe wazembe kabisaIla bado alikua kisirani sasayaani ni asili yao hao watu!Mimi nawajua vzr sana!
Ila wanawake wakule Wengi wao wanachapa kazi sana. Sio wazembe wazembe kabisaIla bado alikua kisirani sasayaani ni asili yao hao watu!Mimi nawajua vzr sana!
Duhh kumbe.. Ndiomana kunasiku tuliamka nikaona mkewe dizain kama kakatwa na kitu kama kisu maeneo ya mdomo jamani!🙆🙆🙆🙆Wale lile panga anakabidhiwa siku akitahiriwa na lazima awe nalo na masharti ya panga lile akilitoa halirudi anakukata,asipokukata ni mwiko!yaani hawanaga masihara muraaaa!!
Eeeh!Huyo bora aliingia huko walau ile asili yao na hasira ikikutana na roho wa mungu walau inabalance madhara!

.
..kuna wengine vichwa ngumu wakanyoka nako
...wanauliza hivi nyie praise mnaishije naye,tukasema tushamzoea



🤣🤣 Naimagine simpatii picha!Eeeh!
Yaani kuna muda tu anaanza kulia,anaondoka zake anaenda kukaa...sababu haieleweki ,mara ooh wamechelewa kuitikia.
Ile praise team ilikuwa zaidi ya jeshi..
Imagine anafokea watu ambao hawakwenda kwenye mazoezi..huku anaweka na alama ya msonyo...
Watu kumtafuta inbobo kumuomba msamaha ndio kabisa wakaharibu.
Kuna kipindi alikuwa mwanakamati kwenye mission zetu za injili tulikuwa tunaita outreach...sasa kuna siku ilikuwa zamu ya wadada kuosha vyombo..vyombo vikaosha,,baadaye kumbe watu wa power room wakapeleka vyombo vyao kule muda ushaenda.
Alipofika akavikuta hakutaka kujua sababu...ni kuja kufokea watu hovyo kama watoto..kuna wengine vichwa ngumu wakanyoka nako
...wanauliza hivi nyie praise mnaishije naye,tukasema tushamzoea
Aisee wakurya hii hasira wapunguze jamani.
Wakurya wadada sasa ndio moto wa kuotea mbaliacha kabisa dogo vile nilivyo ukinipga si unazidi kuniharibu na masura personal hayaa,wanaume wakipiga wanakimbiliaga kupiga usoni!nilitoka ndukiii!toka hapo mkurya no!kwa kweli!
Ila wapo wastaarabu japo wa kusample!
Mimi sijawahi pigwa na mwanaume maisha yangu yote,baba mwenyewe kupiga alikua hajui,yaani siku ukipigwa basi umevuka mipaka,Mimi nilikua naishi na terms and conditions zake so kupigwa sijakupata zaidi ya kurushiwa jagi leo na uzee huu tupigane!hapana kupigwa noo!nikiskia mwanamke anapigwa nashangaaaga sana!








Kakali hako AloooNaimagine simpatii picha!
















Itakuwa. Eti mzuri ukimsumbua kidogo anasepa,as ana uhakika wa kumpata mwingine. Sisi personal tunavumilia tu, hata tukitoka ndoani hatutakwi![]()



loohh!kazi tunayo siye personal maana kama tumestiriwa vileKakali hako Alooo
Halafu kamesomea ualimu
Sipati picha huko darasani hali za wanafunzi wake
Sema tulishakajuaga kapo hivi,basi tukawa tunakachukulia tu hivyohivyo...
Sasa ole wenu imbeni mkosee
Huku kenyewe kakikosea utakosa "Oh sorry nimekosea,kanastopisha mziki kwa ishara na kuamuru waanze upya..sasa nyie wengine koseeni muone"
....
Kuna siku kalinipa za uso...kalinipa wimbo nikamwambia siwezi asee![]()


wanafunzi cha moto wanakiona!!Wee bora wadada,wakaka wamezidi aseehh!wakorofi wapigaji na watata balaa!Wakurya wadada sasa ndio moto wa kuotea mbali
Yaani utadhani kuna kiwanda cha hasira huko Mara Asee
.......
Kumbe wakaka wanatwanga eeh!
Na imagine vile sijawahi kupigwa na mzee,,halafu napata mtu ananitwanga
....
Kwahiyo dada mkubwa ukamkimbia mchuchu![]()

Salama tu vipi wewe ?
Mimi nilikuwa naruka naye tu kwenye beat lake.wanafunzi cha moto wanakiona!!
We tena cha kudekaa!alitamani akufukuze!
AiseeWee bora wadada,wakaka wamezidi aseehh!wakorofi wapigaji na watata balaa!
Omba ukipata mkurya awe muungwana maana wapo wastaarabu wengi tu!
Kingine ujiandae mitala wale kwao kawaida sana!MTU ana ndoa na ana ndoa ya kimila pia!![]()



Hbd Elli.
Happy new year too mzee wa dollariWakulungwa wote wa kiume na kike Heri ya mwaka mpya!
Sijaja huku toka mwaka jana![]()
Happy new year too mzee wa dollari
. Ila zipo
Nigawie moja basi.Asante sana , Miezi ya njaa hii hatutaji hayo maneno tena. Ila zipo
![]()

Binamu bora wakaka aisee; mwanamke wa kikurya akiwa mtata ni balaa. Tuliwahi kuwa na jirani aitwaye mama Chacha huyo mmmmhWee bora wadada,wakaka wamezidi aseehh!wakorofi wapigaji na watata balaa!
Omba ukipata mkurya awe muungwana maana wapo wastaarabu wengi tu!
Kingine ujiandae mitala wale kwao kawaida sana!MTU ana ndoa na ana ndoa ya kimila pia!![]()
Kale kadada ni ka Chacha sasaBinamu bora wakaka aisee; mwanamke wa kikurya akiwa mtata ni balaa. Tuliwahu kuwa na jirani aitwaye mama Chacha huyo mmmmh








