Selfika na JF: Snap it. Show it

Aisee😂😂😂
Ila uzuri wa malastborn hatupendi unyonge.
 
Ewaaa hapo hata kumuhubiria mtu injili anakuelewa mapema. Sio mlokole hataki hata kuoga kisa yuko busy na injili; imagine unampiga mtu kizinga afu uje umwambie "Yesu ni mzuri, okoka au receiveeeee"; ni ngumu wapendwa. Poverty shall never be our portion IJN

Marko 10:29-30.
29. Yesu akasema, Amin, nawaambieni, Hakuna mtu aliyeacha nyumba, au ndugu waume, au ndugu wake, au mama, au baba, au watoto, au mashamba, kwa ajili yangu, na kwa ajili ya Injili,

30. Ila atapewa mara mia sasa wakati huu, nyumba, na ndugu waume, na ndugu wake, na mama, na watoto, na mashamba, pamoja na udhia; na katika ulimwengu ujao uzima wa milele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…